Kitu usichokijua ni usiku wa giza. D9 hawapitishi hela yao benki yeyote ile. Narudia, hawapitishi hela yao benki yeyote ile. Kudhani kwamba Tangazo la katazo ndio limevuruga kila kitu, ni uelewa mdogo sana. Hebu soma kwa undani sana kuhusu cryptocurrency duniani na jinsi zilivyokuwa ngumu...
Si shabikii mauaji yeyote yale. Lakini nnachojua nuclear scientist tisa wa Iran wameuwawa na Israel ndani ya Iran yenyewe. No any retaliation has been reported so far zaidi ya nchi moja kuendelea kuwafadhili Hezbolah na Hamas kwa silaha
mpiga kelele ivi unajua Fordow iko wapi? hebu soma vizuri uliyoyaandika. nnahisi ulichokimaanisha sicho ulichoandika. But all in all mtambo wa fordow ulishavurugwa mbaya kabisa na wanantuklia 11 kutoka korea, ujerumani na iran waliuwawa. ni mwezi wa tatu mwaka huu. achilia mbali nuclear...
Daa.. akili ndogo sana hizi. Kuvimbisha misuli ya shingo kwa kupiga mikelele kuwaaminisha watu eti uchumi wa Arusha umeshuka, nakumbuka enzi zileeeee... tulipokuwa watoto tunabishana tukisema ..."hili gari langu..." mwingine nae anasema "mi nilishaliwahi ni langu..."
Mleta mada uzi wako wa...
naona Lukosi una maneno meeengi mno ya kumshambulia Lema mpaka unakinaisha. Unatafuta kuungwa mkono. Sio wote wanafikiri kama wewe, na sio chochote unachosema ni sahihi. hoja zako za kipuuzi namna flani. Can you keep quite please...
hapana mkuu. tumia lugha laini kidogo inayothamini utu wa mtu. japo hata mimi siungi mkono ufisadi lakini roho ya mtu ina thamani kubwa kupita fedha.
ni mawazo yangu tu mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.