Ni ukweli usiopingika wakati wa magufuli atukuwa na Aya Mambo nakaa karibu Ila Sasa Ni Kama wanabip kuona mama yukoje wakati wa magufuli Askari wakiisi tu ulifanya tukio kesho wako mlangoni kwako wanakutia risasi habari imeisha majambazi wakawa na huoga maana kuuliwa ilikuwa kugusa tu awasubairi...
Nataka kuingia Katika biashara ya kuku WA kizungu naitaji kupata assurance ya masoko
Kwa walio dar naitaji kujua masoko ya kuku wa kizungu.
Naitaji kuanza na kuku 500.
Nitafurai nikipata mawasiliano ya wanunuaji kuku
SHIKA NENO NAWE UTAISHI... GOD SAY YOU HAVE NOT BECAUSE YOU ASK NOT..
Kwa imani yangu ya dini unaweza ukairisha kifo unaweza ukapona.. Ndo maana mungu anasema njooni tusemezane... Ijapokuwa una imani kama chembe ya haradani unaweza ukaumbia mlima huu nenda ukatupwe kule.
ISAYA 38:1
1Wakati huo...
Lazima watu waelewe kinachofanya mafanikio sio degree ya MTU au masters ya MTU ila ni akili ya MTU binafsi...
Niliwai kuambiwa Na Mzungu Mmoja kuwa Shule inafundisha MTU kuzungumza lugha flani kama ni engineer utazungumza lugha ya kiingineer lakini si kwa sababu umesoma basi uwe unagundua...
Laiti kama tungechagua nchi ya kuzaliwa.. Mimi ningekuwa Wa kwanza kuikataa Tanzania..Ni MTU tu kakaa anamuwazia mwenzake mabaya... Ndo maana tunasema msio Na viwanda msiongee Kuusu viwanda... Unakutaka MTU ata Duka ana anakuja kuombea wengine wasifanikiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.