Recent content by Shaby kim

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini hukumu ya kesi ya Mwana FA dhidi ya TIGO imeripotiwa kwa makosa?

    Mahakama ya Rufaa kesi imefunguliwa na upande wa kina mwana FA. Mahakama ya Rufaa imeeleza vizuri sana imeirudisha mahakama kuu kasoro kipengele Cha kwanza katika vipengele vilivyopelekwa mahakama kuu
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini hukumu ya kesi ya Mwana FA dhidi ya TIGO imeripotiwa kwa makosa?

    Ushindi ambao nahisi unasemwa na waandishi ni kuwa kesi zinazohusu hakimiliki na hakishiriki Zina mamlaka ya kusikilizwa mahakama ya wilaya hivyo imetengua uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya wilaya haikuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi. Kutokana na kipengele Cha sheria mahususi ya...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Itifaki hapo Lukuvi waziri mwandamizi baraza la mawaziri, karibu mkuu kiongozi kusiluka, mwanasheria mkuu wa serikali kwahyo kwenye mpangilio wa vyeo mzee mkuchika hapo alipaswa kusimama, kwasababu itifaki inapangwa kulingana na vyeo na ikitokea vyeo vinafanana wanapanga kulingana na uandamizi...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Namba 3 ni mwanasheria mkuu wa serikali mh johari
  5. S

    JamiiForums Tanzania Je kulikuwa na ulazima wa CCM kufanya maadhimisho ya miaka 48 badala ya kusubiri miaka 50

    Duh ndugu yangu unawapingia mambo yao hata wakisherehekea.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

    Kabla ya kutoka nje kuzungumza na hadhara wote watakaopewa nafasi ya kuzungumza mbele ya Rais hotuba zote lazma azupitie na wakati mwengine Huwa wanapangiwa vya kuongea kwahyo alichokiongea Prof Mkenda kina baraka zote za Mh Rais kabla hajasema pale
  7. S

    JamiiForums Tanzania Askari wawili JWTZ wafariki dunia, wanne wajeruhiwa mashambulizi ya M23 huko Goma, DRC

    Unaangalia sana muvi za kivita ambazo wale wanaotumwa kwenda kuokoa watu wanarudi bila kufa au kujeruhiwa hebu fikiria ratio ya waliokufa na waliobaki
  8. S

    JamiiForums Tanzania Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Kwenye mabomu ya Gongo la mboto hapo ni kweli tulikuwa tunasuburi Practical ya chemistry Pugu Boys. Ila nimejaribu kufungua code nimeshindwa kukufuhamu maana Kwa maelezo hayo tulikuwa wote PCM. Pole sana Classmate PCM na COET na hongera Kwa kula shavu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Postini motto ya shule uliyotoka tujue shule yako!

    Elimu na nidhamu ni rasilimali isiyooza
  10. S

    JamiiForums Tanzania Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    BM vipi kimya muendelezo
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider tudondoshee hata epsode 1
  12. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi: For You

    Yaani alichofanya Kelvin aisee nimepata hasira kama ndo mm vile miongoni mwa mess makers
  13. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi: For You

    Natamani ingeendelea japo kidogo tu
  14. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Hii n I tamu hatar
  15. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Tupo
Back
Top Bottom