Recent content by Shabani Rahisi

  1. S

    Wanawake hivi mnaposema haya maneno huwa mnamaanisha nini labda?

    wnawake wanapenda wanaume wa tatu 1. hendsome, maana yake mwenye pesa, pesa zinamfanya awe vizuri wakati wowote ule. 2. Good looking. maana yake hawe na hela asiwe na hela automatic umbile lake ni zuri (ni mzuri) 3. Gentleman. huyu sasa ni mtu wa shughuli yaani mwanamke akifanya jimai na huyu...
  2. S

    Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

    hiyo ni kweli Uislam ulisha lizungumza hilo Karne ya saba kwamba mwanamke anasikia raha zaidi kati ya 70%-90% zilizo baki ndio za mwanaume ndio maana mwanamke ukimtosheleza vizuri anaweza kukaa hata mwezi asikusumbue, lakini mwanaume ukimpa maramoja kwa wiki unamtesa, ndiomaana Uislam ukamruhusu...
  3. S

    Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

    Kaa ukijua kua wewe ni tapeli wa mapenzi ndio maana umemuacha mwenzio ukaenda kubeba mimba kwengine.
  4. S

    Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

    Kati ya hao jamaa kuna mmoja unampenda na inawezeka ndiye aliesababisha hiyo mimba na huyo unaeishi nae humpendi kitu cha msingi mwambie kua humpendi ili asepe nawe uishi kivyako na mimba yako.
  5. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo ni kitu gani?
  6. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mawazo ni kitugani?
  7. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mawazo ni kitu gani?
  8. S

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    IKISIMAMA PANDA. KAMAUTAKI BASI. ALAA KUMBE.
  9. S

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    QUR AN QUR-AN ni kitabu chenye sifa ambazo vitabu vingine vyote duniani havina. ni ktabu kidogo chenye maandishi machache na chenye maana pana kuliko kitabu chochote ulimwenguni. yeyote atakaye jifunza QUR-AN na akaifuata ataishi vizuri hapa duniani na kesho akhera SIFA ZA QUR-AN 1. Ni kitabu...
Back
Top Bottom