wnawake wanapenda wanaume wa tatu
1. hendsome, maana yake mwenye pesa, pesa zinamfanya awe vizuri wakati wowote ule.
2. Good looking. maana yake hawe na hela asiwe na hela automatic umbile lake ni zuri (ni mzuri)
3. Gentleman. huyu sasa ni mtu wa shughuli yaani mwanamke akifanya jimai na huyu...
hiyo ni kweli Uislam ulisha lizungumza hilo Karne ya saba kwamba mwanamke anasikia raha zaidi kati ya 70%-90% zilizo baki ndio za mwanaume ndio maana mwanamke ukimtosheleza vizuri anaweza kukaa hata mwezi asikusumbue, lakini mwanaume ukimpa maramoja kwa wiki unamtesa, ndiomaana Uislam ukamruhusu...
Kati ya hao jamaa kuna mmoja unampenda na inawezeka ndiye aliesababisha hiyo mimba na huyo unaeishi nae humpendi kitu cha msingi mwambie kua humpendi ili asepe nawe uishi kivyako na mimba yako.
QUR AN
QUR-AN ni kitabu chenye sifa ambazo vitabu vingine vyote duniani havina.
ni ktabu kidogo chenye maandishi machache na chenye maana pana kuliko kitabu chochote ulimwenguni.
yeyote atakaye jifunza QUR-AN na akaifuata ataishi vizuri hapa duniani na kesho akhera
SIFA ZA QUR-AN
1. Ni kitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.