Recent content by Shaaban Haufi

  1. Shaaban Haufi

    Kegel exercises for men

    wahanga wa tatzo la nguvu za kiume ndio..-au ulzani wahenga[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] @sheby_tz#
  2. Shaaban Haufi

    Kegel exercises for men

    Wahanga wanajua
  3. Shaaban Haufi

    Kegel exercises for men

    Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ambayo mwanaume au mvulana anapungukiwa au kukosa kabisa nguvu za kusimamisha viungo vyake wakati wa tendo la kujamiiana. Pia inaweza kuwa ni hali ya mwanaume kuwahi kumaliza wakati wa tendo, au kuwa na nguvu hafifu. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume wengi...
  4. Shaaban Haufi

    Mzumbe wasota kwa njaa baada ya boom kucheleweshwa

    Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe wanasota na njaa kutokana na kucheleweshewa pesa zao za chakula na malazi....haieleweki tatizo litaisha lini
  5. Shaaban Haufi

    B.s.Ed(MATHEMATICS & ICT) at MZUMBE

    msaada kwa yeyote anaye jua lolote kuhusu program iyo apo pale mzumbe chuo kikuu
  6. Shaaban Haufi

    Kozi ya Mathematics & Informatics, Naweza kufanya kazi gani tofauti na Ualimu?

    Thanks brother ozzie,God bless you a lot for your advice,i have learnt a something from you, thank you very much
  7. Shaaban Haufi

    Kozi ya Mathematics & Informatics, Naweza kufanya kazi gani tofauti na Ualimu?

    Habari yenu wana JF,Mimi nasoma EGM Pale KAHORORO BOYS,Ndoto zangu ni kusoma hesabu na computer. Swali langu: je, endapo nikifaulu vizuri advanced mathematics,nikachagulia kujiunga na chuo kikuu Kwa kozi ya MATHEMATICS&INFORMATICS,Naweza kufanya kazi gani,tofauti na kuwa mwalimu? Nawatakia kazi...
  8. Shaaban Haufi

    Tulio chaguliwa kwenda Kahororo boys tufahamiane hapa

    ww sijakuelewa,kwan maada iyo inauhusiano gani na post yako,afu unaonekana mgeni jf,waache wenye busara zao tujadili ya msingi
  9. Shaaban Haufi

    Tulio chaguliwa kwenda Kahororo boys tufahamiane hapa

    Nimefurahi sana,kuchaguliwa kwenda katika shule nzuri yenye mazingira mazuri na taaluma nzuri, kwa wale tulio chaguliwa pale KAHORORO BOYS SECONDARY SCHOOL. Huu ndo muda mzuri wa kufahamiana kabla hatuja tia timu hapo kama mpo tufurahi pamoja ndani ya hii thread 0768428999
  10. Shaaban Haufi

    form five selections

    Vuta subira my fellow mulugo's son
  11. Shaaban Haufi

    Jamani naomben msaada wa dhati,matokeo yangu haya apa

    Hufai kuwa mwalimu,tena inaonesha,your thinking capacity is not yet grown,matured and enough,najua hujaelewa namaanisha nini! "badae"
  12. Shaaban Haufi

    Sua tutakufa na njaa

    Nawapeni POLE Kaka zangu na dada zangu wa SUA.Jikaze kaka angu DANIEL CHIPETA
  13. Shaaban Haufi

    Post za kidato cha tano.

    Daa yaani Mwenzio hadi usingizi unanipaa! am always thinking about selections
Back
Top Bottom