Eti mashirika kama ''haki za binadamu'' dha! ngoja Siku hao unaowashabikia wakutoe meno ndo utaona umuhimu wao PILI hivi unazani hizi vita anazopigana zinania njema sana ila sio Kwa kutafuta sifa asifiwe na sio kukosolewa
Mi nashangaa hao wanaojiita white people wengi hawana marinda na wanasapoti uzibuaji bora niwe na wake hatamia kuliko kuzibuliwa (alafu wanasema wanaakili)
Nimesoma mudhasari wa taarifa ya tume ya kwanza (makinikia) sijaona jina ACACIA naona ripoti ya mchanga usio na wenyewe nahisi labda mchanga ulikuwa wa TMAA &WIZARA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.