Recent content by Sevi

  1. S

    Somo la meditation: utajuaje kama unafanya kwa sahihi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. S

    RC Makonda agharamia mazishi ya Masogange

    Kumbe ndio maana tumeona green palee hii hii hii
  3. S

    Polepole ataka Zitto Kabwe achukuliwe hatua kwa kupotosha ripoti ya CAG, amtaka 2020 atafute kazi nyingine

    Ila nadhani sasa hivi ccm hawana katibu mwenezi kiukweli, aliyempa polepole alikosea sana sana.....huwezi kumfanisha nape na huyu mtu....wajitasimini upya watafute katibu mwenezi....badala ya kutuambia zile pesa za wastaafu watarudisha lini waendelee kupata pension anaongea sijui vitu gani...
  4. S

    Mpenzi wangu ana gubu, jambo kidogo lazima aongee

    Yaani huyo hafai kuwa mke...utateseka maisha yako yote....hata biblia inasema "kama ilivyo ngumu kwa mzee kupanda mlima uliojaa mchanga ndivyo ilivyo kwa mume mpole kuishi na mwanamke mwenye makelele" nimesahau kwenye biblia ni kitabu gani.
  5. S

    CHADEMA na Siri za vyombo vya dola

    Sio uchunguzi tu hata albadili walikataa watu wasisome kipindi tundu lisu walikataa.....yaani mtu atakama umetumwa waza basi wakati unaandika huo upupu wake...
  6. S

    CHADEMA na Siri za vyombo vya dola

    Sio kukuharibia tu unaweza jikuta umempa mtu neno zito sana na kwaresma hii kututia tu watu majaribuni mbuzi hawa.....
  7. S

    CHADEMA walaani viongozi wao kunyimwa dhamana. Wasema mpango wote unaratibiwa na ofisi kubwa

    Tatizo wanadhani yataishia kwa wanasiasa tu, ikitoka kwao itaamia kwa wananchi....lazima tuangalie kwa mtazamo tofauti sana.
  8. S

    CHADEMA walaani viongozi wao kunyimwa dhamana. Wasema mpango wote unaratibiwa na ofisi kubwa

    Kwahiyo watu wavunilie hadi miaka 7 ijayo? Vipi akija mwingine? Hili bomu linatengenezwa litalipuka wewe angalia tu hata kwenye familia mzazi akiwa mkali sana sana watoto hufika mahali mioyo yao haina tena woga yaani hapo ndio ataletewa mimba nyumbani, watoto wataruka ukuta waende...
  9. S

    Mbeya: Serikali kugharamia mazishi ya Alen Achiles aliyefariki baada ya kutoka Polisi

    Imekuwa style sasa kuuwa na kuzika......ipo siku itarudi kwenye vizazi vyao hizi damu wanazomwaga.
  10. S

    Ushauri: Abdul Nondo tekeleza hili jambo haraka sana

    [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
  11. S

    Huu ndio ukweli juu ya kuchafuliwa kwa Rais Magufuli na hili gazeti

    Ila mkapa hakuwa kama huyu aisee...mmmh!
Back
Top Bottom