Recent content by serious1

  1. S

    Wema amlipua Kajala kisa unafiki

    Nasubiri pia kujua
  2. S

    Birthday yenye utata

    na ana ngoma warumi
  3. S

    Nauza Toyota carina TI

    imekaa vema,tano nikupe Osaba
  4. S

    smartphone ya laki fasta nahitaji

    nahitaji smartphone ya haraka kwa bei poa kabisa ya laki moja..... preferably Huawei acsend au Samsung dual...screen 4inches na kuendelea... twende kazi
  5. S

    elimu ya unyonyeshaji kwa mama mwenye VVU inahitajika

    Umeona eeh.......life is how you make it mamito em gfsonwin akuje hapa haraka...
  6. S

    elimu ya unyonyeshaji kwa mama mwenye VVU inahitajika

    hili halitawezekana.by the way sio wa kwanza kufany ahivi.wapo wanaofanya hivi mradi tu upate elimu nzuri... hakuna kipindi kigumu mama,ni changamoto tu za maisha...wengine wanatamani ujauzito hawaupati,wengine wanatupa,wengine tupo huku.yote maisha
  7. S

    elimu ya unyonyeshaji kwa mama mwenye VVU inahitajika

    anatarajia kujifungua muda wowote kuanzia hivi sasa............. kinachohitajika kwa sasa ni elimu ya kutosha jinsi ya kumnyonyesha mtoto huyo kwa maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi mitatu alichopanga ili kumzuia na maambukizi ya VVU toka kwa mama. tafadhali MziziMkavu toa elimu hapa...
  8. S

    Food Suppliments for HIV People

    Hi Jamii ninahitaji food suppliments kwa maana ya vidonge ambavyo vitanipa nguvu kidogo........si kwmba sina nguvu..it happened cd4 zinashuka kwa kasi japo siumwi...nahitaji kuzipandisha.nakula vizuri ila weight loss nimeiobserve..sijaanza kutumia arv na nisingependa kuzianza now...nakula...
  9. S

    upimaji wa cd4

    hi jf...naomba kufahamishwa maeneo kwa maana ya maabara hapa dsm ambapo upimaji wa cd4 unafanyika privately na kwa bei nafuu...less than 50,000..asante
  10. S

    Celeb wetu na bastola facebook

    si kasema facebook........unavizia lift ya mwenge nini?
  11. S

    Ninatamani kuolewa, lakini ninaishi na virusi vya ukimwi

    hizo siasa zenu huku huko.....mipango kibaaao mmekalia politics na facebook kama sio jf hamna kazi ya maana inayofanyika..samahni kama nimekuudhi maana nawe pia umeudhi!!sio muda wa kubishana na kutajiana kazi zenu mara elfu mngekua na icho kitengo cha kuwakutanisha watu walioathirika wakapata...
  12. S

    Davis Elisa Mosha ni nani?

    nakumbuka jamaa alikua wa kwanza kujenga gorofa pale kiboroloni-mnazi mmoja anapokaa.ni miaka ya 1999 hivi kama sikosei niliona icho kiota kwa mara ya kwanza..anakaa jirani sana na nyumbani kwa marehemu Mowo yule mmiliki wa Mzalendo Pub...jamaa ni tajiri siku nyingi sana thats what i can...
  13. S

    Troy's Last Words Before Execution: Tujifunze nini?

    dah.......im crying!!i feel it...i feel the pain ur family is having now for Troy...oh My...so Troy is asleep now..yes!!asleep and will never work up..RIP bro
Back
Top Bottom