Twende taratibu.
Kwa hiyo hata wewe (lets say ni msukuma) umepata watoto wawili wa kiume, unaweza kuamua kuwapa kila mmoja kabila lake, mfano mmoja akawa mpare na mwingine akawa mchaga?
Ndugu, kwanza unatakiwa ufahamu utamaduni wa wahaya katika kuwapa majina watoto wao. Mfano kwa wakristo, kila mtu anakuwa na majina mawili, mfano utakuta mtu anaitwa John Mwesiga, hilo jina Mwesiga sio jina la ukoo (surname), ni la kwake... kama huyu John ana baba aitwaye Jacob Rweyemamu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.