Nimekusoma mkuu mimi kaendesha kwelikweli kamaliza wiki iliyoisha ila kwa sasa amestop alikua anapewa nyonyo kwa sana na maji kwa wingi. Ila kwa sasa naona kichwa ikifika mida ya jioni kinakua cha moto....
Kitu cha muhimu katika maisha ni kuwa na furaha na familia yako, kwahiyo usijishtukie ni Kitu cha kawaida. Mshukuru Mungu ulichonacho utafika tu pale unapotaka kufika
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mbeya (Mbozi Mission) mwenye kupenda kubadilishana kituo cha kazi katika mikoa hii ya Pwani,Tanga,Morogoro na Arusha basi anicheki kupitia namba hii 0658262637.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.