Shukran mkuu waliuguwa 2 mmoja akafa walikuwa wa kubwa ninao zaidi ya 60
Vifaranga ninavyo vingi Ila sija vichanganya
Walio uguwa walikuwa wanakosa nguvu miguu shingo wana kunja kama ulivyo sema!
Sijawahi wa chanja chanjo yoyote una shauri ni wape chanjo hawa wakubwa tu au wadogo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.