Lakini wanakuwa na wakalimani.sasa kuongea kiswahili nchi za watu bila mkalimani ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa acheze.Alipaswa kwenda na mkalimani wake badala ya kutegemea kumkuta huko.
Kama uchumi unakua,kwa nini wamezuia ripoti ya IMF kuchapishwa?
Viongozi Wa cdm naona wamepata relief baada ya Zito kupokea kijiti. Colabo ya Zito na maalim inawatesa sana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.