Hizi ni mashine zinazonunuliwa kwa kodi zetu. Kodi inayotakiwa kulipwa/au unayotakiwa kuilipa unanunulia mashine. Unatakiwa kununua kwa hela cash leo unarejeshewa kwenye kodi baadae. Kwa hiyo hii ukishainunua kurejeshewa hela yako kwenye kodi mashine ni mali ya serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.