Teeh ,na Mimi ni Mwthirika wa huu Uhamisho kwa hiyo hzo ni Updates ninazokutana Nazo kwenye ,pitapita zangu .Naskia waraka upo lkn sijauona physically ,Kuna mtu kausoma na kunipa taarfa.Nami pia nimesononeka sana we jamaa. Nikiupàta nitaupost ili ujiridhishe pasipo shaka
Ni kweli ,hata kwenye ndoa hawaruhusiwi kuomba uhamisho wa kumfuata mwenzi wake labda wawe wanafanya kazi idara moja ,Umezidi kubainisha waraka hyo uliotumwa kwa wakuu wa Idara wiki iliyopita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.