goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 943
- 1,110
Jaman nmetoka kuwasiriana sasa hivi na mtu wa tamisemi kasema mambo yatakuwa mazur mda c mrefu ila hawezi sama ni lini nyie mnaonyong'onyeza nyoyo za watu c vizur tusikilize wahucka wanasemaje
Hata kama hii taarifa c ya kweli lakini angalau inatia matumain kuliko wale wanaokuja na taarifa za uongo zenye sumu mioyoni mwa watumishi