Na wahesabu hamna?Jaman kuna uhamisho kweli?....
Walimu wa science naona Neema km kwao imefunguliwa zaidi.
Wakuhama hatuonekani kabisaaaaa
Hujasoma magazeti ya leoUnasema walimu wa sayansi neema imefungulifu kivipi? sijakupata hapo
Sent from my itel it1556 using JamiiForums mobile app
siwezi kuwa na maneno matamu kwa mpumbavu lazima mpumbavu uende naye kipumbavu kama ilivyo akili yake ,kama huelewi matumizi ya kitu bora ukae kimya sio kujifanya mjuaji ,na unatakiwa kujua kwamba si kila anaye ongelea maswala ya walimu naye ni mwalimu na hata kama nikiwa mwalimu pia naamini wanafunzi wangu wasinge kuwa wapumbavu kama wewe hivyo nitawafundisha maadilii mema na hata wakikosa niwa waelimisha na watanielewa maana ni wanafunzi na wananihitaji kuwaelimisha , si wewe unaye jua matumiz ya kitu halafu unaenda kinyume nacho kwa makusudi unamatatizo ya akili wewe.uBro ww kweli ni mwl mbona una mdomo mchafu unawafundisha nn watoto huna hata maadiri kwani sioni kilicho kujaza ww sio mmefika wa jamiiforums lakini mishipa imekusimama ile mbaya duh!
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Zawadi ya mjinga ni meno teh teh teh tehsiwezi kuwa na maneno matamu kwa mpumbavu lazima mpumbavu uende naye kipumbavu kama ilivyo akili yake ,kama huelewi matumizi ya kitu bora ukae kimya sio kujifanya mjuaji ,na unatakiwa kujua kwamba si kila anaye ongelea maswala ya walimu naye ni mwalimu na hata kama nikiwa mwalimu pia naamini wanafunzi wangu wasinge kuwa wapumbavu kama wewe hivyo nitawafundisha maadilii mema na hata wakikosa niwa waelimisha na watanielewa maana ni wanafunzi na wananihitaji kuwaelimisha , si wewe unaye jua matumiz ya kitu halafu unaenda kinyume nacho kwa makusudi unamatatizo ya akili wewe.u
Niliongea na mtu wa tamisemi 2 weeks ago alisema uhamisho haujafutwa majina wanatoa wa 6 eti wa nne muda hautatisha walim kuripoti vituo vipya
Huyo muongo naye ...km Hamna vyazo si mkae kimya kuliko kutafuta kiki ...ili uonekane na wewe una mbuyu tamisemi....hatusikilizi yoyote sasa hivi ...zaidi ya kusubiri miujiza ya orodha ya majinawaliokuwa wanaajiriwa mwezi wa 4 na wa 5 miaka ya nyuma tena weng zaid kuliko hizo ajira na huo uhamisho walikuwa wanawezaje kuripoti tena kwa muda mwafaka, leo hii unatwambia et tamisemi wamesema mwez wa nn muda hautoshi!!? A cha kutuzingua na tamisemi wako.
Wewe umeuona huo waraka?mbona mimi sijaona huku kazini kwanguNi kweli ,hata kwenye ndoa hawaruhusiwi kuomba uhamisho wa kumfuata mwenzi wake labda wawe wanafanya kazi idara moja ,Umezidi kubainisha waraka hyo uliotumwa kwa wakuu wa Idara wiki iliyopita
Ni kweli ,hata kwenye ndoa hawaruhusiwi kuomba uhamisho wa kumfuata mwenzi wake labda wawe wanafanya kazi idara moja ,Umezidi kubainisha waraka hyo uliotumwa kwa wakuu wa Idara wiki iliyopita
Mbona hapa dar sijausikia jamanTeeh ,na Mimi ni Mwthirika wa huu Uhamisho kwa hiyo hzo ni Updates ninazokutana Nazo kwenye ,pitapita zangu .Naskia waraka upo lkn sijauona physically ,Kuna mtu kausoma na kunipa taarfa.Nami pia nimesononeka sana we jamaa. Nikiupàta nitaupost ili ujiridhishe pasipo shaka
Jaman nmetoka kuwasiriana sasa hivi na mtu wa tamisemi kasema mambo yatakuwa mazur mda c mrefu ila hawezi sama ni lini nyie mnaonyong'onyeza nyoyo za watu c vizur tusikilize wahucka wanasemajeMbona hapa dar sijausikia jaman