Recent content by Senguo

  1. Senguo

    Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

    Kwa kifupi Mbape ameonesha kwamba hana lolote la ajabu. Naona safari yake ya kung'ara inafikia mwishoni. Hana adabu. Na hatofika mbali. Akili ndogo utazijua tu. Ni suala la muda. How can he compare himself to Messi. [emoji28] Crazy little boy.!
  2. Senguo

    Unaweza kumtambua mchezaji gani?

    Nimekumbuka PROF NDUMILAKUWILI aliwapeleka watu kibao hoteli ya kifahari wakitegemea atalipa bill. Tena alikuwa kanyuka suti kaalii utadhani bonge la Boss. Halafu akawaacha solemba. Sikumbuki hata kilichofuata maana ilikuwa mpaka toleo lijalo.
  3. Senguo

    Unaweza kumtambua mchezaji gani?

    Sikuhizi si limekuwa gazeti la udaku. Hazipo tena
  4. Senguo

    Unaweza kumtambua mchezaji gani?

    [emoji28][emoji28][emoji28]
  5. Senguo

    Nimeamini Tigo wizi

    Pole aisee. Hata mimi nimeachana na huo mtandao kwa mambo kama hayo. Nilikuwa nime sign mkataba ambao naweka 30000/= kwa mwezi napata muda wa maongezi dakika 33kwa siku kwa mwezi mzima ambao najua siumalizi kwa huo mwezi kwa matumizi yangu ninavyoyajua. Nimefanya hivo kwa kama mwaka mzima hivi...
  6. Senguo

    Madaktari wahamasishe ulaji wa ugali wa dona

    Lakini kukoboa sio dawa ya kuziondoa hizo sumu pia. Sent from my SM-N9002 using JamiiForums mobile app
  7. Senguo

    Madaktari wahamasishe ulaji wa ugali wa dona

    Kweli kabisa. Starch and fat are the worst enemies in that aspect. Sent from my SM-N9002 using JamiiForums mobile app
  8. Senguo

    Wizara ya Elimu yawaasa vijana kutumia Elimu kujiajiri

    Tatizo mjasiriamali mdogo hawajamuangalia kwa ukaribu. Mtu anataka kujikwamua halafu anadaiwa kodi na tozo nyingi sana. Pia hawajaweza kudhibiti bei za wenyemapango binafsi ambao akiamka vibaya anakuja kuongeza kodi ya frame kisa kaambiwa na dalali kwamba atapata mteja. Uncertainty ni nyingi...
  9. Senguo

    Najivua uanachama wa CCM kuanzia usiku wa leo

    Pole sana. Ndio tujifunze jinsi ya kuchagua.
  10. Senguo

    Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

    Kweli kumekucha.!
  11. Senguo

    Naomba wajuvi wa masuala ya barabarani mnishauri, nataka kuwashitaki jeshi la polisi

    Hao jamaa wanamalengo mengi. Mojawapo ni kukusanya mapato ya nchi kwa mgongo wa kusimamia sheria za barabarani. Makosa yanatafutwa kwa nguvu zotee.. wala usishangae.
  12. Senguo

    Naomba wajuvi wa masuala ya barabarani mnishauri, nataka kuwashitaki jeshi la polisi

    Kumbe wewe mgeni hapa bongo,.? Ndio maana. Usijisumbue kabisa.
Back
Top Bottom