Recent content by sengeze adam

  1. S

    JamiiForums Tanzania Bata mzinga wakubwa kwa wadogo

    duh kazi kweli ipo mbona mi siusomi huu mchezo.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Feed mixer and feed ration compogition formula

    sina hakika na unachokisema about protein concentration ktk mazao kutofautiana bt issue inabaki palepale kanuni sahihi za uchanganyaji wa chakula cha kuku ni muhimu hasa katika uwiano wa uchanganyaji ila kuhusiana na hiyo DCP sina knowlegde nayo,afterall kwa mtanzania wa kawaida hasa mfugaji wa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa wageni wanaingia mji mdogo wa Tunduma

    tatizo la vyombo vyetu vya ukinzi na usalama ni mpaka waathiriwe wao ndio huchukua hatua za kukurupuka na kuungana kwenda kulipiza visasi bt aathiriwe raia wa kawaida.jamani polisi msiishie kupendeza tu ndami ya sare maridadi zinazotokama na kodi zetu wamamchi badi na kututetea mtutetee...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Feed mixer and feed ration compogition formula

    Hello wasaka mali wenzangu, Naomba kuuliza ni wapi zinapatikana mashine rahisi za kusaga chakula cha kuku hasa za mkono,uwezo wake na bei zake.Pia mwenye kujua kanuni sahihi za uchanganyaji wa chakula cha kuku ambayo inatoa matokeo tarajiwa maana hata haya makampuni ya uuzaji wa vyakula vya kuku...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Pata mashine za kilimo zilizo bora na za kisasa

    kilimo sio processing tu mheshimiwa mbona umesahau preparations?vo kuhusu mashine za umwagikiaji na vifaa vyake km Sorincklers je mnadeal na vitu hivyo pia?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    nami niungeni 0787100906
  7. S

    JamiiForums Tanzania Bila mishahara walimu Tutashi vipi

    Ila pia serikali nayo imepoteza uelekeo wa kiuendeshaji.Mi nakushauri mjimba we banana na mkuu wako wa shule ysko pamoja na idara ya utumishi ktk halmashauri yako km wote hawana nsmna ya kukusaidia basi omba ruhusa ukapumzike zako nyumbani wasikuzingue.ukishaingia kwenye Payroll ndo urudi mzigoni.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Bila mishahara walimu Tutashi vipi

    safi saana mfuga kuku kwa maoni yako,unajua walimu nao ss hv wamekuwa km vipofu,unajua mi mwenyewe mwalimu najishughulisha kilimo cha bustani bt nimetumia nguvu nyingi sana kuwashawishi tutumie fursa za ujasiriamali tulizo nazo bt kama nampigia mbuzi gitaa,nadhani maisha ya madeni ndiyo walimu...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba kwa bei ya kutupa

    Tupe majibu hiyo madale ya wapi?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji

    Pia nilisahau kuhusu kutaga pamoja si tatizo ila cha msingi uwe unakusanya mayai yanayotagwa kisha uwawekee mayai mabovi(bortion)mpaka utapokapoona wanaanza kulalia ndipo unawchukulia mayai mazuri mmojammoja unamuhesabia kulingana na mwili wake unamtengea pembeni analalia.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji

    vizuri sana ndugu yangu kwa kukubali kuwa mjasiria mali naamini utfanikiwa Kuhusu tatizo la kutotoa bila shaka kuku wako watakuwa wanataga bila kupandwa na majogoo hivyo mayai kutorutubishwa,au huwaandalii sehemu nzuri ya kuatamishia(viota)hivyo kuku kuwa restless na msyai kukosa joto kwa ajili...
Back
Top Bottom