Pata mashine za kilimo zilizo bora na za kisasa

Pata mashine za kilimo zilizo bora na za kisasa

carter2012

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
9
Reaction score
5
Ndugu Mkulima wa Kitanzania.
Napenda kukutangazia kwamba mkombozi wako katika kuongeza thamani ya mazao yako amepatikana sasa.
Sisi ni wakala wa kampuni kubwa ya kimataifa kutoka China.inayotengeneza mashine za kilimo kwa kutumia Teknolojia ya kisasa na katika kiwango vya kimataifa.
Mashine zote zina guarantee ya mwaka mmoja/spare parts za Bure kwa mwaka mzima.
Tuna mashine za kuprocess(kukoboa,kupepeta,kupolish,kugrade ,kusaga,kukamua,kusindika),mazao yote ya nafaka kama mpunga/mchele,mahindi,ufuta,mbaazi,choroko,dengu,Alizeti,soya,uwele,mtama nk.
Pia tuna mashine za kisasa za kukamua mafuta na packaging kwa mazao kama ya Alizeti ,ufuta, ngano na mahindi.
Na pia kwa mahitaji yako ya mashine za kutengeneza pombe zitokanazo za mazao/alchohol making equipments
Na mwisho kwa mahitaji yako ya mashine Za kutengeneza snacks kama tambi,cornflakes na noodles tuwasiliane.

Kwa maelezo zaidi tuwasiliane

Tel:0754712116
E-mail makwalag@yahoo.com
 
kilimo sio processing tu mheshimiwa mbona umesahau preparations?vo kuhusu mashine za umwagikiaji na vifaa vyake km Sorincklers je mnadeal na vitu hivyo pia?
 
Vp kuhusu mashine za kulimia kwenye mashamba ya mpunga kama pawatila?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom