wewe nae eti CHUO CHA UDOM ndo chuo gani??? unakuwa kama yule raisi anaesema CHUO KIKUU CHA UDOM NI VIRAZA[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]af et umehitimu BSC CHEM duuu bila shaka sup zilikutafuna sana pale cnms kwa NYahongo
Mkopo utapata kwa mwaka wa kwanza ila utend kusainia coed NB mwaka wa pili utapata usumbufu mkubwa sana kama hutokuwa mvumilivu maana mkopo itabd ufuatilie mwenyewe na pia utachelewa ad upate barua utawala mkuu pia kumbuka hzo 100% ni za eductn ko BscN utaongeza mchuzi...
Niletee utumbo wa sisimizi changaanya na litaa mojaa yaa damu ya nzi kishaa wekaa kwenye kona nne zaa chumba chaako chimbia chini baada ya hapo tafuta kuku mweusi mchinje hakikishaa unapataa damu lita tatu zaa huyo kuku kisha utatumiaa kuoshaa uso na mikono kabla hujaendaa biasharani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.