Mambo yanahusu imani ni complicated sana! Ukiingia kiundani zaidi utaibua maswali mengi yanayotatiza. Ila mi naamini hizi dini(uislam na ukristo) ni kuletwa tu, ni mila na desturi za watu flani
Safi sana, mwanamke ndivyo anavyotakiwa kuwa pindi akiwa ndani na mumewe au mpenziwe. Lazima ajiachie uone vilivyo maumbile yake. Nakushangaa kuchukizwa na jambo zuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.