Polygamy hii, dini ina-encourgae hili suala kwa sababu za kitamaduni tu wala si kwadababu ya kiroho. Well, sasa ndugu unataka uoe mke wapili, halafu utaenda watatu, wanne... ili iweje wakati unasema bibi wako ni MZURI anakufaa kwa kila kitu? Unataka uone mwingine upate sifa na uwafurahishe wapendwa wako katika imani?
Mimi kwamtazamo wangu haya masuala kuoa wake wengi kwasababu eti dini inasema haiana mashiko yoyote spiritually. Hii mambo kazi yake nikutetea na kuimarisha MFUMO DUME.
Tuki-encourage mume kuoa zaidi ya mke mmoja si sawa tu wanawake nawao wakawa na mume zaidi ya mmoja na jamii ione sawa tu?