Recent content by Semistocles

  1. Semistocles

    Tatizo la kunuka mdomo(kinywa) husababishwa na nini?

    Sugua na ulimi pia mpaka mwisho.... kunywa na maji ya moto yaliyochanganywa chumvi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Semistocles

    Tatizo la kunuka mdomo(kinywa) husababishwa na nini?

    Chukua uzi wa nguo, ingiza katikati ya meno chokonoa uone uchafu unaotoka. Shida iko katikati ya meno. Utanishukuru baadae... Hata upige vipi mswaki haitasaidia kama katikati ya meno uchafu haujatolewa kwa uzi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Semistocles

    Vyuo vikuu tumieni mfumo wa division hizi GPA zinatuchanganya wazazi

    Hebu acha ujuha bwana! Jitu zima la chuo kikuu linalilia vipi zawadi?
  4. Semistocles

    Rais Magufuli punguza wazee vyuo vikuu

    Hao wazee wamesaidia nini zaidi ya kunenepeana tu kama vifaru?
  5. Semistocles

    Rais Magufuli punguza wazee vyuo vikuu

    We ni mpumbavu na mshenzi tu!
  6. Semistocles

    Michael Scofield Habari nyingne

    Ukiwa sio shoga na huna akili watu watakuheshimu?
  7. Semistocles

    Michael Scofield Habari nyingne

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom