Recent content by Semeni Bugoke

  1. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Hudumieni wake zenu

    kwa rungu la mti wa mpingo…
  2. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Hudumieni wake zenu

    Kwa mibluu mitatu? Miaka ya 90s msimbazi ulikuwa unaitwa bluu.. Sasa mkuu jamaa katoa barua kalipia mahali na mitoto kamzalisha we unataka ujione na 30k yako mtu… Nzi mwenye kelele hana bahati kwa maana hufa dakika za mwanzo…
  3. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Nani anaweza kunisaidia kupata uthibitisho wa safari ili nipate passport??

    Hadi leo hujapata koba mkuu?! 😳
  4. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaume tunaopenda wadada wembamba bado tupo au ni mimi tu?

    Heheh.. mbu mwenye kelele hufa dakika za mwanzo!
  5. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Kwa wakazi wa mkoa wa pwani

    Laki 5 hadi 8
  6. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Kuwe na usafiri maalum kuwasafirisha watu wenye matatizo ya akili, leo tumenusurika kifo baada mtu mwenye matatizo hayo kumpiga kabari dereva

    Inavoanza inaonekana kama tukio la kuchekesha na unaweza anza tabasamu kadri unavozidi kuisoma ndiyo unakuta khe! Kumbe sio stori ya kituko kumbe ni mambo serious!..
  7. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Unaijua skanka (Skunk)?

    Gramu 20 faru!? Yaani buku tano? Wapi hilo chimbo!.
  8. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Ukikua utatambua sasa hivi bado upuku puku wa mavi hujatoka kwenye hiyo medula yako… Wewe utakuwa baba Mjinga
  9. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Kobaz ndiyo maana yake nini!? Pia sidhani kama uko sawa kwenye medula yako! Kuoa ni umalaya? Kama una watoto basi wamepata baba mjinga..
  10. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    Sawa sawa lakini je,? Umenijibu kitaalamu au na wewe unasikia tu?
  11. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    “Nasikia hata umeme hawapati ata wapige ngozi kwa ngozi vipi”
  12. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kama ulinunua kiwanja Dodoma jiji, soma hapa utanishukuru

    Aisee! Me nilipiga fence kabisa afu nikasepa nakuja kurudi nakuta nimezungukwa na majengo tupu.
  13. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Tena siku hizi mahari bei chee! Sana eti unakuta kabinti ka 19 kamefeli zake form four low mileage ka astadhati fulani eti wanakutoza milioni moja tu! Hapo wanakutegea utashuka shuka hadi 700k. Aisee kanatii amri tu ndani kanakuzalia watoto wazuri tu.. Aisee!
  14. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Nenda kapeleke kwao barua, ndani ya barua usisahau kutiamo misimbazi mitano pia weka na kitambaa cheupe. Waislamu hawana mambo mengi hasa kama upo serious kweli kuoa, watakujibu barua yako! Lakini mali watakayokutajia we lipia yote wala usilie shida lipa yote bakiza kama elfu 50 tu si unajua...
  15. Semeni Bugoke

    JamiiForums Tanzania Huyu mama alikua anamaanisha nini?

    Sema nini mkuu unaishi squatter!
Back
Top Bottom