Inavoanza inaonekana kama tukio la kuchekesha na unaweza anza tabasamu kadri unavozidi kuisoma ndiyo unakuta khe! Kumbe sio stori ya kituko kumbe ni mambo serious!..
Tena siku hizi mahari bei chee! Sana eti unakuta kabinti ka 19 kamefeli zake form four low mileage ka astadhati fulani eti wanakutoza milioni moja tu! Hapo wanakutegea utashuka shuka hadi 700k. Aisee kanatii amri tu ndani kanakuzalia watoto wazuri tu.. Aisee!
Nenda kapeleke kwao barua, ndani ya barua usisahau kutiamo misimbazi mitano pia weka na kitambaa cheupe. Waislamu hawana mambo mengi hasa kama upo serious kweli kuoa, watakujibu barua yako! Lakini mali watakayokutajia we lipia yote wala usilie shida lipa yote bakiza kama elfu 50 tu si unajua...
Kusema kweli mimi hii nafasi nimerusha wavu, na nina vigezo vyote kama wanavyotaka kama vile, koba, leseni na uzoefu wa miaka 10+ katika kazi hii ya hatari ya kukwepa kifo road.. Nikipata naingia hapo uarabuni kuishi na hizo dinali… Lakini arabuni sio ndio kituo hapana 😁.. Mnaobeza hizi fursa...
Bange ni kinyume na sheria za mhimili wa Jamhuri ya muungano lakini wengine huvusha kwa ajili ya shetani ahepe tu na si vinginevyo! Kama kumfukuza shetani nako ni kinyume cha sheria basi…
Asiye jua maana hata ukimpa maana hawezi jua maana!
Boxing day!
Ukweni ukiwa na maana ipi?! Kwa wakwe zangu ni pwani rufiji, bado shamba nikaona mbona kama pana ka fursa! Kabla ya mimi kugeuzwa fursa! Basi nikatia nguvu nikapata vihekari takribani 30!. Nataka nivitie korosho karafuu nitajaribu pia parachichi kipori kingine kidogo ntatia mizinga kadhaa tu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.