Kwa mibluu mitatu? Miaka ya 90s msimbazi ulikuwa unaitwa bluu.. Sasa mkuu jamaa katoa barua kalipia mahali na mitoto kamzalisha we unataka ujione na 30k yako mtu…
Nzi mwenye kelele hana bahati kwa maana hufa dakika za mwanzo…
Inavoanza inaonekana kama tukio la kuchekesha na unaweza anza tabasamu kadri unavozidi kuisoma ndiyo unakuta khe! Kumbe sio stori ya kituko kumbe ni mambo serious!..
Tena siku hizi mahari bei chee! Sana eti unakuta kabinti ka 19 kamefeli zake form four low mileage ka astadhati fulani eti wanakutoza milioni moja tu! Hapo wanakutegea utashuka shuka hadi 700k. Aisee kanatii amri tu ndani kanakuzalia watoto wazuri tu.. Aisee!
Nenda kapeleke kwao barua, ndani ya barua usisahau kutiamo misimbazi mitano pia weka na kitambaa cheupe. Waislamu hawana mambo mengi hasa kama upo serious kweli kuoa, watakujibu barua yako! Lakini mali watakayokutajia we lipia yote wala usilie shida lipa yote bakiza kama elfu 50 tu si unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.