Recent content by Semeni Bugoke

  1. Semeni Bugoke

    Kuwe na usafiri maalum kuwasafirisha watu wenye matatizo ya akili, leo tumenusurika kifo baada mtu mwenye matatizo hayo kumpiga kabari dereva

    Inavoanza inaonekana kama tukio la kuchekesha na unaweza anza tabasamu kadri unavozidi kuisoma ndiyo unakuta khe! Kumbe sio stori ya kituko kumbe ni mambo serious!..
  2. Semeni Bugoke

    Unaijua skanka (Skunk)?

    Gramu 20 faru!? Yaani buku tano? Wapi hilo chimbo!.
  3. Semeni Bugoke

    Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Ukikua utatambua sasa hivi bado upuku puku wa mavi hujatoka kwenye hiyo medula yako… Wewe utakuwa baba Mjinga
  4. Semeni Bugoke

    Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Kobaz ndiyo maana yake nini!? Pia sidhani kama uko sawa kwenye medula yako! Kuoa ni umalaya? Kama una watoto basi wamepata baba mjinga..
  5. Semeni Bugoke

    Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    Sawa sawa lakini je,? Umenijibu kitaalamu au na wewe unasikia tu?
  6. Semeni Bugoke

    Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    “Nasikia hata umeme hawapati ata wapige ngozi kwa ngozi vipi”
  7. Semeni Bugoke

    Tetesi: Kama ulinunua kiwanja Dodoma jiji, soma hapa utanishukuru

    Aisee! Me nilipiga fence kabisa afu nikasepa nakuja kurudi nakuta nimezungukwa na majengo tupu.
  8. Semeni Bugoke

    Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Tena siku hizi mahari bei chee! Sana eti unakuta kabinti ka 19 kamefeli zake form four low mileage ka astadhati fulani eti wanakutoza milioni moja tu! Hapo wanakutegea utashuka shuka hadi 700k. Aisee kanatii amri tu ndani kanakuzalia watoto wazuri tu.. Aisee!
  9. Semeni Bugoke

    Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Nenda kapeleke kwao barua, ndani ya barua usisahau kutiamo misimbazi mitano pia weka na kitambaa cheupe. Waislamu hawana mambo mengi hasa kama upo serious kweli kuoa, watakujibu barua yako! Lakini mali watakayokutajia we lipia yote wala usilie shida lipa yote bakiza kama elfu 50 tu si unajua...
  10. Semeni Bugoke

    Huyu mama alikua anamaanisha nini?

    Sema nini mkuu unaishi squatter!
  11. Semeni Bugoke

    Nililinyamazia WhatsApp group la Sekondari kutokana na kuchoshwa na vizinga

    Hapana mkuu usichoke pambana tu hilo salaba.. Laki??!! Aah kubabeki!.. Maskani ulikuwa unatuma shingapi?
  12. Semeni Bugoke

    Hizi nafasi 500 za waendesha pikip8ki zisije zikawa kama zile za madereva wa lori

    Kusema kweli mimi hii nafasi nimerusha wavu, na nina vigezo vyote kama wanavyotaka kama vile, koba, leseni na uzoefu wa miaka 10+ katika kazi hii ya hatari ya kukwepa kifo road.. Nikipata naingia hapo uarabuni kuishi na hizo dinali… Lakini arabuni sio ndio kituo hapana 😁.. Mnaobeza hizi fursa...
  13. Semeni Bugoke

    Kama kuvuta bangi ni "ujanja" na kunaongeza "akili " kwa nini wavuta bangi hawawafundishi watoto bangi na hawapendi kuitwa wavuta bange ?

    Bange ni kinyume na sheria za mhimili wa Jamhuri ya muungano lakini wengine huvusha kwa ajili ya shetani ahepe tu na si vinginevyo! Kama kumfukuza shetani nako ni kinyume cha sheria basi… Asiye jua maana hata ukimpa maana hawezi jua maana! Boxing day!
  14. Semeni Bugoke

    Naombeni ushauri kaka zangu sihitaji matusi

    Ukweni ukiwa na maana ipi?! Kwa wakwe zangu ni pwani rufiji, bado shamba nikaona mbona kama pana ka fursa! Kabla ya mimi kugeuzwa fursa! Basi nikatia nguvu nikapata vihekari takribani 30!. Nataka nivitie korosho karafuu nitajaribu pia parachichi kipori kingine kidogo ntatia mizinga kadhaa tu ya...
Back
Top Bottom