Recent content by Self-made

  1. Self-made

    Janja janja za kupata ajira katika kipind kigumu hiki katika soko la ajira

    kuhusu ajira zinazidi kuwa ngumu mnoo hasaa miaka hii ya 202+ tutapitia ugumu mwingi sana kuipata ajira, hivyo kuna njama nyingi sana tunatakiwa kuweza kuzitumia ili kupata ajira katika taasisi za kiserikali au zisizo za kiserlikali.. tukibakia huku kuapply na kufanya interview ambako...
  2. Self-made

    Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

    Nataman nikushaurii vitu ilq naona weee ni mpanbanqji mzuriii. Skia fanya ivi kama kwelii ulikuwa unaiweza forex na ukatusua ivyoo ila ukafanya makosa jifunze katika hayo makosa rudii sokon nakama unaona huna maaarifa mengi lipia course soma kwa mtu anaeaminika ndani na njee ya tz. Huku ukiwa...
  3. Self-made

    Magu: Walimu wanaolawiti watoto watakiwa kujisalimisha

    Nazan ifike mahala sasa sheria itungwe kwamba mwalim yoyote akiwa ameajiriwa serikalin ndanii ya miaka mitatu au ameshaoa au kuolewa na kama ikishindikana hapo atolewe kaziin mpka atakapo oa ndo arudishwe. Hili tatizo nimeliona kipind kirefu sana na pia hiii miaka 30 iwe yetu siis rahia...
  4. Self-made

    Biashara Mbezi mwisho, Riverside au Kigamboni

    Nimekaa Ubungo kwa mdaa wa miaka miwili na ninajua namna biashara zinavyoenda pale japo sio snaa maaan sijawah fanya biashara maeneo yale Kiutaalam izo sehem zote ulizozitaja zipo vyema kwa biashara ila kwa kuwa ubungo bado ni shopping area na mbezii ni development area . Hivyo basiii...
  5. Self-made

    Mawazo yangu binafsi, naombeni na ushauri wenu juu ya hii Milioni 15

    Mimi kwanza ndio bado sina kaziii na wala sina ata mia hapa na jana sijala nimekosa hela kama ulivyokuwa unakosa wee mkuuu emb. Nipe ata mchongo naweza fanya nipate na mm hela. Nina elimuu ya chuo kikuuu tena ud . Emb okoa jahazii mm naweza beba ata zege tuanzie hapa alafu hio milion 15 tutajua...
  6. Self-made

    Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

    Siku hizi wanawake wamekuwa niwatu wanafanya vibiashara vyenye kuwapa 10000-50000 kwa siku sasa hiii huwapa Sana confidence wanawake nakuoa kuwa nawao wanaweza kuwa baba ndo maaan sikuiz masingle. Maza wanazid kuongezeka hapa mjini na wengine wanpenda kuwa masingle maza yaaan. Pia wanaume...
  7. Self-made

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Naomba utoleeeeee ushuhuda kwangu😂😂😂😂😂😂😂rhaaa yake nikwamba munakuwa munaangalia milango yote na madisshani yote kama kuna mtu anakuja ila kwa chumban utashangaaa mtu anaingia chumbwiiii huelew katokea wapi
  8. Self-made

    Ni kweli Diamond ndiye C.E.O wa Wasafi Media?

    KWAnza nikufahamishe kuwa. Ceo nimuunganish kati ya board of directors na na employees pia huchukua nafas ya kufanya maamuz makubwa ya kampun pia huyu hawii ceo kwakua anashare nyingi au ndogo baliii huchaguliwa na board of directors Sikiliza wataaalam hapa wakikupa maaan ya ceo What Is...
  9. Self-made

    Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

    Aiseeeeee kwaiyo na mm unanishauriiii nisioe kabsa sio
Back
Top Bottom