Ile machela ilyombeba Dr Livingston miaka elfu kadhaa iliyopita ipo makumbusho hadi leo na ni ya miti na aina hiyo ya miti bado inapatikana! Kwanini wasiitafte uo mt watengeneze ilo Siwa? Au ni mbinu tu ya kujitengenezea fursa zao! Yani ningekuwa na uwezo ningejifungia mabomu nikafe nao ili liwe...
Kuhusu kashfa ya richmond Lowasa aliamua kuachia ngaz na kutulia lakini ishu zote izo alipewa go ahead na Prezda! Hakuna ambacho alifanya bila idhini ya Mr Przdnt!
wizara kama hii nyeti siyo mahali pa kufanyia majaribio! So akishaboronga ndo tuanze kuhoji!! Hii ni sawa na mtu amezama kwenye baharini alafu unamleta muokoaji asiyejua kuogelea! Hiv ni nini kitatokea hapo? Jibu unalo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.