Recent content by Selesele

  1. S

    Tiba uchwara za kunenepesha maumbile zinaangamiza taifa

    Kumekua na matangazo mengi katika majarida, mitandao na hata katika mabango mitaani kuhusu dawa za kuongeza au kunenepesha maumbile ya kike na kiume bila kuwa na side effects!!!! Binafsi nimejaribu kujielimisha juu ya Ulimbukeni huu unaotamalaki katika jamii yetu. Sijapata ushahidi wowote...
  2. S

    Tanzania tungekuwa na hata robo ya demokrasia ya Kenya tungekuwa mbali

    Kiwango cha uwazi ni kikubwa! Sheria zao zinatoa nafasi kwa demokrasia kutendeka. Wizi wa kura wa Tanzania ni wa wazi mno. Yaaani mnakamata makaratsi ya kura waziwazi na Tume inapiga kimya! Uwazi ndo hakuna kabisaaaa! Pamoja na ubaya wa siasa zao kuwa za kikabila still Tanzania tunayakujifunza...
  3. S

    Ushauri: Mchumba wangu ana maumbile makubwa

    Ikiwa size ya kawaida Oooh! Kibamia ukiwa mkubwaa Oooh! Mnaumia! Sheedah! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Kumbe unajua Church Dogma! Basi ndo ujue Kanisa linataratibu zake. Mm na wewe tukipewa nafasi tutaleta tunayopenda! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Mpima vigezo ni nani? Kanisa ni kubwa kuliko individual. Kanisa katoliki lina historia! Heshima ya kanisa haihatarishwi kirahisi namna hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Kanisa halishughuriki na umbeya. Ingekua mke wake amewahi kulalamika na kanisa likatambua na Yeye akakiri kuwa anavimada basi asingepewa huduma hiyo. Dhambi za siri wao hawajui ila ikiwa bayana utaisoma! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Huu ni Uzushi! Kanisa katoliki haliangaliii jina, fedha, wala umaarufu wako. Jumuiya kuna michango ni kweli. Kama unauwezo changia. Kama huna basi. Kama unauwezo ila hutaki kuchanga basi we ni sawa na mtu anaetaka kuchart bila bundle Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Kanisa halina vita naye bali halimtambui kama mshirika kwakua alijitenga nalo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Kijana epuka ndoa na wanawake wenye kazi hizi

    Vichekesho! Kwani wewe unaptka kuoa unaoa kazi au fani ya mtu au shida yako ni Mwanamke! Oa mwanamke umtakaye achana na kazi. Halafu by the way maisha hayana kanuni. Unakuta ati mtoa thread mwenyewe hajatajirika na ubongo wake umelala lakini anadiriki kukosoa wengine Sent using Jamii Forums...
  10. S

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Ni comment tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Una mke? Kama unae sawa! Dunia inavioja! Unakuta hata anemchepusha mke wa mtu na yeye mke wake au demu wake anachepushwa! Akipewa huyo mwanamke nayeye anaweza t. ombewa na wengine! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

    Hahahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    Hali ilipofikia kwa sasa, CHADEMA haiwezi tena kuikosoa CCM

    Hizo ni fikra zako lakini unaandika kama mtu aliepewa dhamana ya kuwa msemaji wa Watanzania! Ukijani unakusumbua! Mpaka utakapotoa hiyo Miwani ulovaa ndo utakuwa na uwezo wa kueleweka!
  14. S

    Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mama yake wahamia CHADEMA kutoka CCM

    Umekua msemaji wa Wanachadema? Au unaongelea Fikra zako na kuzipandikiza kwa CDM! Kwani Wema ni Wakwanza kuiacha ccm ?
  15. S

    Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mama yake wahamia CHADEMA kutoka CCM

    Povu tu ! Kwani kuna shida gani kwa WEMA and na hao uliowataja kukihama ccm?
Back
Top Bottom