Recent content by selemany

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah muhindi leo inaweza ikawa siku yake
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

    mkuu na mimi huwezi kunifanyia mpango nmesoma electrical nna upper second Ila npo tu kitaa nasugua benchi
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Yaan ikianza sensa au wote pesa sawa wasimamiz na makarani?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Vp wasimamizi nao wanapata kiasi gani?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Wakuuu hiv posho zinakua sawa kwa wote yaan tehama, karani,na msimamizi wa maidhui?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hiv wakuu usimamizi wa maudhui na karani wanalipwa hela tofauti?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Je malipo ya karani yanatofautian na msimamizi wa maudhui?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Oya wakuuu malipo yanakuaje eti
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Moro manispaa tayar huko wadau
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

    Hongera sana jamaa umefanya Jambo la busara sana na nashangaa watu mnaomtetea huyo Dada,baba sio kuzalisha baba ni kuhudumia.Nitatoa mfano kwangu baba yangu alimuoa mama yangu akiwa na mtoto tena nadhani wa miaka mitatu Mimi nlizaliwa wakati huyo Dada yangu amefika miaka sita kwa maana...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa usahili wa TANROADS Songea kitengo cha mizani

    Habari wakuu samahani nilikua nauliza kuna mtu yeyote aliyepigiwa simu baada kufanya oral interview ya tar 18/5 mwaka huu
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

    Dah mkuuu pole😄😄😄😄
  13. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TANROADS - Lindi

    Washaanza kuwapigia simu tayar
  14. S

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at TANROADS

    Nasikia pwani wamewapigia watu simu na interview kesho kaka ninavyosikia
  15. S

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at TANROADS

    Mkuu inaonekana bado nadhani labda wanasubir mwaka uishe huu
Back
Top Bottom