Job Opportunities at TANROADS

Job Opportunities at TANROADS

Daah cjui huwa tunakosea wapi yaan, mie waliwahi kuniita mara moja tu, subr niangalie na hii ya Arusha kama wataniita ikiwa kama bado hawajaanza kuita watu
Kuna Engineer Leo nilikua nae anasema tatizo langu mm Naomba Weighbridge Operator, kweny CV Nimeweka update or degree kwahiyo nakua na qualification kubwa inafaa niweke CV ya diploma bila kuongeza Kitu. Me naweka degree nakosea
 
Kuna Engineer Leo nilikua nae anasema tatizo langu mm Naomba Weighbridge Operator, kweny CV Nimeweka update or degree kwahiyo nakua na qualification kubwa inafaa niweke CV ya diploma bila kuongeza Kitu. Me naweka degree nakosea
Hiyo kweli mkuu inawezekana maana hata mimi nina degree ila safar hii nimeiondoa degree imebakia diploma tu, ndio niko katika kusubiria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom