MTU mweusi uwezo anao japo vikwazo anavyopitia in vigumu sana ila we run the worldwide hata wao wanajua ndiyo sababu wanajitahidi kutuletea mentality za unyonge Wa kifikra ila bahati bado IPO kwetu, changamoto in mifumo ya siasa na elimu ya ya MTU mweusi mwenyewe
Tatizo in kua waafrika bado hatuna ukweli juu yetu kunawezekana maingiliano baina ya jamii hizi yalipelekea upotevu Wa taarifa sahihi ju yetu, lakini biashara hizi za utumwa. Zilianzia misri huko ambapo no afrika,,
Aisee hiyoo no changamoto ambayo wanaume wengi wanaiipitia, lakini tafuta mazingira uanze kumpa hizo habari kama story ukiona response take in negative kausha ujipange kumlea mwanao lakini akijua atakamia vizuri sana kipato chako na utashindwa kumsaidia mwanao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.