Recent content by Seleboy2010

  1. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Nimefuta data zote za Kampuni kwenye Server yao kwa bahati mbaya, je kesho niende kazini?

    Kwa kawaida every data on server zinakuwa backup otherwise kwa zile offline system ndio zinakuwa zinashida kidogo but i hope utakuwa umepoteza currently data ila old watakuwa wamebackup
  2. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Usipoichagua CCM utachagua chama gani cha upinzani?

    Kweli kabisa jah wazee wakuokoteza hata magu akistafu wanamchukua
  3. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Kwenye sakata la mchanga wa dhahabu, nafahamu ukweli wa ndani

    Ita press media uongee live usituchoshe
  4. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete akutana na Edward Lowassa, asema amejifunza mengi kutoka kwake, na bado atajifunza

    Hawo ndio ambao hawajui nini siasa wapo kwa ajili ya kulopoka
  5. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Makonda na Steve Nyerere hamtosamehewa milele

    Wema ndio nan
  6. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Lissu afunguka kasoro alizofanya RC Makonda

    Afadhari wewe unatufundisha ila kuna watu wapo kupongeza kila kitu Tundulisu si ndio aliandika majina ta mafisadi na hatuelewi yapo wap leo asituchoshe
  7. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza kufanya mtihani mwingine

    Apo wanapunguza wanafunzi kijanja wameshindwa kuwalipia wote
  8. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza kufanya mtihani mwingine

    Wanaongeza bajet ambazo hazina tija alafu hio taarifa bado sio rasim mbona
  9. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza kufanya mtihani mwingine

    Iyo habari ipo wap mbona kwenye website yao hamna www.necta.go.tz
  10. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Msaada wa flash file Tecno L8 Plus

    Ninalo utalipataje
  11. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Jamaa anajutia kumsaliti mkewe kwa beki tatu

    Mm nitakaribia tu unifundishe niwe fund mzuri maana sura sijapewa labda niwe fundi ndio nitapendwa
  12. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Jamaa anajutia kumsaliti mkewe kwa beki tatu

    Mmmh aya asante miss chaga
  13. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Jamaa anajutia kumsaliti mkewe kwa beki tatu

    Duuu sasa kutomwambia ndio chanzo cha yeye kujiona fundi wewe unalia kumbe hata unamuigizia miss chagga you have to teach me really sijuii chochote nisije tia aibu ai watu wakawa wananisaidia mke wangu
  14. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Jamaa anajutia kumsaliti mkewe kwa beki tatu

    Mmmmmmmh wewe duu iyo ni kweli kabisaa mnatufichia siri ili sio fresh ni bora ukasema ili ajifunze bhana miss chagga
  15. Seleboy2010

    JamiiForums Tanzania Dollar sasa yafika Tsh 2,300/=. Tuendelee kuisoma namba

    Mimi huwa sielewi haya mambo kwani kuna mtu alisema kuwa dollar ikipanda kuwa kubwa inaweza kutuletea uchumi kupanda pia alafu pili shilingi ikipanda pia uchumi unaweza kushuka sasa mtaalamu anieleweshe ili nisije chekwa akanipa mfano wa china na korea ndio nchi zenye hela ambayo haina thamani...
Back
Top Bottom