Jamaa utakua na Intel za ndani mi nakuchukulia serious. Kwahio utaratibu wao wanatoa vibali kila mwisho wa mwezi? Na je wanavitoa kwa utaratibu upi, kuna idadi maalum kila mwezi?
😀😀😀
Mkuu kila mtu anachanganyikiwa kutokana na hali yake aliyonayo 😄.
Huenda hali yetu ikawa ngumu zaidi kuliko yako kwa sababu;
1. Majibu hayatabiriki unaweza kupata au kukosa kibali.
2. Tumesubiri kwa muda mrefu zaidi ya miezi miwili, vibali vimeanza kutolewa we unarukwa unasikia tu wenzako...
Daah watu na bahati zao. Kwani hawa utumishi utaratibu wao upoje? Mwanzo nilijua first in first out ila ni zigzag hivi kuna watu wamechelewa kuomba na wanapata mapema kuliko maombi ya wengine yaliofika mapema ehee.
We jamaa hio avatar umeeka hapo ni yako? we ndio wakutoa ushauri huu unaochochea talaka? jee unajua kama talaka ni chukizo mbele ya Allah?..
Afu umeweka avatar nzuri kweli maneno ya Allah "Hakika ya Allah yuko pamoja na wanaosubiri"
Badala uwashaurii subra na watafute njia za kuweza kutatua...
False positive results. Cross reactivity io inaweza kusababishwa na high sensitivity ya kifaa kilichotumika kwenye kipimo, ambapo kinaweza kureact na schistomiasis or trypanosomiasis. Na mara nyingi reaction hua inatokea kutokana na kipimo cha step ya 1 kinachotumika kwenye Nationa Algorithm e.g...
cha muhimu ni kukaa na kuelezana vp mfanye mpate chochote cha kujikimu anaweza kua hajapata kazi bado maana kazi ngum mtaani ila akipata kazi atakua sawa .. saiv we unaweza kua na bum ukamuona hana maana lakn jaribu kumsikiliza ye ana mipango gan na maisha yenu ndio amekataa tamaa kabisa au...
mtu anayetenda na kufanya kazi yake kwa kufuata misingi, taratibu na kanuni za sheria anatumbuliwa na yule anayevunja,kuharibu na kutofuata sheria analindwa anatetewa na kuachwa..hili ni jambo la kushangaza mpaka hapo no democracy no rule of law..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.