Recent content by selebinde

  1. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Jamaa utakua na Intel za ndani mi nakuchukulia serious. Kwahio utaratibu wao wanatoa vibali kila mwisho wa mwezi? Na je wanavitoa kwa utaratibu upi, kuna idadi maalum kila mwezi?
  2. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kule kuna magroup ya watumishi wanaosubiri uhamisho kasearch utaona
  3. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kwa hali hii wenge lazima mkuu. Vinatoka mpaka weekend, nimeona FB huko watu wamepata Leo.
  4. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    😀😀😀 Mkuu kila mtu anachanganyikiwa kutokana na hali yake aliyonayo 😄. Huenda hali yetu ikawa ngumu zaidi kuliko yako kwa sababu; 1. Majibu hayatabiriki unaweza kupata au kukosa kibali. 2. Tumesubiri kwa muda mrefu zaidi ya miezi miwili, vibali vimeanza kutolewa we unarukwa unasikia tu wenzako...
  5. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Daah watu na bahati zao. Kwani hawa utumishi utaratibu wao upoje? Mwanzo nilijua first in first out ila ni zigzag hivi kuna watu wamechelewa kuomba na wanapata mapema kuliko maombi ya wengine yaliofika mapema ehee.
  6. selebinde

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Na usirudi ishia huko huko
  7. selebinde

    JamiiForums Tanzania Kauli ya ndoa ni uvumilivu imepitwa na wakati

    We jamaa hio avatar umeeka hapo ni yako? we ndio wakutoa ushauri huu unaochochea talaka? jee unajua kama talaka ni chukizo mbele ya Allah?.. Afu umeweka avatar nzuri kweli maneno ya Allah "Hakika ya Allah yuko pamoja na wanaosubiri" Badala uwashaurii subra na watafute njia za kuweza kutatua...
  8. selebinde

    JamiiForums Tanzania "Baby sikupi hadi tukapime.."

    False positive results. Cross reactivity io inaweza kusababishwa na high sensitivity ya kifaa kilichotumika kwenye kipimo, ambapo kinaweza kureact na schistomiasis or trypanosomiasis. Na mara nyingi reaction hua inatokea kutokana na kipimo cha step ya 1 kinachotumika kwenye Nationa Algorithm e.g...
  9. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa nyumba kwa kutopangisha wasiooa mnazingua

    hata mm sikupangishi na hapa nilipo sijaoa lakin wapangaji wangu lazima wawe wameoa
  10. selebinde

    JamiiForums Tanzania Hanihudumii ila yeye anataka nimhudumie. Naombeni ushauri wenu hii ni ndoa au ni nini?

    cha muhimu ni kukaa na kuelezana vp mfanye mpate chochote cha kujikimu anaweza kua hajapata kazi bado maana kazi ngum mtaani ila akipata kazi atakua sawa .. saiv we unaweza kua na bum ukamuona hana maana lakn jaribu kumsikiliza ye ana mipango gan na maisha yenu ndio amekataa tamaa kabisa au...
  11. selebinde

    JamiiForums Tanzania Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Hawa sio wa kutetea wanashindwa kujitunza wanajiachia ovyo ovyo wakishazalishwa wategemee huruma kwa wanaume wengine.. tunaomba muwe mnayajenga na wanaume waliowazalisha wawaoe haohao ..
  12. selebinde

    JamiiForums Tanzania Chama Changu Kimenielewa, Wananchi wamenielewa...

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. selebinde

    JamiiForums Tanzania Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    gsjskshsgshskspshsvsjsksjsbvdjsododjdvgshsksokshsvshsksokshsveheoeksbdjekebdvdjekdbrbhd
  14. selebinde

    JamiiForums Tanzania CCM mkimwachia Rais Magufuli atakuwa kama Kagame!

    mtu anayetenda na kufanya kazi yake kwa kufuata misingi, taratibu na kanuni za sheria anatumbuliwa na yule anayevunja,kuharibu na kutofuata sheria analindwa anatetewa na kuachwa..hili ni jambo la kushangaza mpaka hapo no democracy no rule of law..
Back
Top Bottom