We jamaa hio avatar umeeka hapo ni yako? we ndio wakutoa ushauri huu unaochochea talaka? jee unajua kama talaka ni chukizo mbele ya Allah?..
Afu umeweka avatar nzuri kweli maneno ya Allah "Hakika ya Allah yuko pamoja na wanaosubiri"
Badala uwashaurii subra na watafute njia za kuweza kutatua...
False positive results. Cross reactivity io inaweza kusababishwa na high sensitivity ya kifaa kilichotumika kwenye kipimo, ambapo kinaweza kureact na schistomiasis or trypanosomiasis. Na mara nyingi reaction hua inatokea kutokana na kipimo cha step ya 1 kinachotumika kwenye Nationa Algorithm e.g...
cha muhimu ni kukaa na kuelezana vp mfanye mpate chochote cha kujikimu anaweza kua hajapata kazi bado maana kazi ngum mtaani ila akipata kazi atakua sawa .. saiv we unaweza kua na bum ukamuona hana maana lakn jaribu kumsikiliza ye ana mipango gan na maisha yenu ndio amekataa tamaa kabisa au...
mtu anayetenda na kufanya kazi yake kwa kufuata misingi, taratibu na kanuni za sheria anatumbuliwa na yule anayevunja,kuharibu na kutofuata sheria analindwa anatetewa na kuachwa..hili ni jambo la kushangaza mpaka hapo no democracy no rule of law..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.