Leo ni zaidi ya mwezi mmoja na nusu sisi wananchi wa kata za Mkonze na Ntyuka na vitongoji vyake vya Chidachi, GOBA na Shekinah hatupati maji ya DUWASA lakini ni ajabu zaidi kwa uhaba huu wa maji DUWASA wamekuwa wakileta bili za maji tena kubwa bila kujali hali hii.Ni Nini kimewakumba enyi...
Mzee wangu unachotamani kitokee hakitatokea.AfCON inakuja na haitazuilika na choko yeyote. Kwahiyo kwa fikra zako Rwanda ni nchi salama kwa oppositions kuliko Tz?
Anyway Samia is here to stay. Endelea kupiga kelele 2030 sio mbali.
Hakuna Cha EU Wala US. Madhali Tanzania inalinda maslahi Yao ya kiuchumi bila shida, Sahau hizo porojo zako za kuwatetea wezi kwamba zitafanikiwa. Nb.Mkirudia wizi, uvunjifu wa amani na uchomaji wa Mali za uma chuma lazima ilie kuwastopisha manyumbu.
Hata hao unaowaona wanalalamikiwa daily eti wanafanya Hadi bodaboda Kariakoo nao ni majasusi but ujasusi wao sio wa kutusnitch tupigane no! Wao ni wazee wa fursa, wapi madini? Wapi masoko? Wapi nguvukazi?
Hawana time na demokrasia ya kinafki ya Kimagharibi wao maslahi Yao Yako mbele kama tai
Nisikudanganye mkuu kungekuwa na chochote ningejua tu. Hali yetu hakuwahi kubadilika toka baba alipoondoka. Hakuna msaada wowote uliotoka kwa ndugu baada ya kipindi hicho. Licha ya kuwa nilikuwa dogo lakini miaka 14 nisingeacha kukumbuka chochote kilichotokea. Nakumbuka kila kitu baba aneondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.