Recent content by Sela Son

  1. S

    Mfano vita ikasitishwa leo. Kipi kitatokea;Irani atakuwa kaonyesha uwezo wake wa kujihami lakini atakuwa amepoteza uwekezaji wake wote wa miaka 40+

    Hao wairan so kama Waafrika mkuu. Vita ikiisha Leo wape wairan miaka isiyozidi mitano utawakuta mbali sana kiuchumi , kijeshi na kiteknolojia. Waliwahi kupigana na mataifa yote makubwa mwaka 1981-1988 na Bado wakashinda adui hakutimiza malengo. Ni katika kipindi hiki ambapo mataifa makubwa hata...
  2. S

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Kule Iran labda uwaue wowote ndo ukose upinzani.
  3. S

    Mechi za soka zaanza kupuuzwa, hongereni Wananchi

    Nilikuwepo uwanjani kulikuwa na watu maelfu. Huo uchache labda ndotoni. Anyway ndoto zako hazitatimia. Wabongo na boli ni Pete na kidole
  4. S

    Mabomu ya machozi yanapigwa muda huu uwanja wa Sheikh Amri Abeid, mashabiki wanataka warudishiwe hela zao

    Kwa hali ya kawaida Shabiki unadai hela Yako hapo uwanjani hasa unamdai nani? Shabiki unaanzisha mkusanyiko ambao unaweza kuleta taharuki wizi na unyang'anyi ila unataka uachwe tu watu wakuchekee. Wanausalama wapo hapo kwa kazi hiyo ukiambiwa toka nje mechi hamna na sababu imetajwa tii. Hutaki...
  5. S

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Bongo bwana pametuliaaa. Walio vitani wanarudi nyumbani we unatuambia Kuna mvutano , eti tff! Kaa kwa kutulia mkuu! Unataka viongozi wakufanyie Nini? Wakiongea hamtaki! Wakitenda hamtaki! Wakinyamaza wamekaa kimya mnaanza kuwazushia vifo! Nb. Samia iz here to stay hutaki kunywa sumu
  6. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    US hawana kambi yoyote ya kijeshi katika Pakistan
  7. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani Haina kambi za kijeshi Pakistan .Hiyo umeiona wapi boss?
  8. S

    Na bado wanangangania goli aisee Simba nyie, Refa apewe maua yake kabisa

    Kaka hii ni Bongo lazima ukumbuke! Aliyekataa goli ni mtu wa bendera tena baada ya goali kufunguwa na sio wakati mwalimu akiwa offside
  9. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hayo ni makazi ya imam Khaminey baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani. Yamepukutika kabisa panebaki Lami. Hali ya imam haijulikani lakini Iran imesema Rais Pezeshkian ni mzima wa afya
  10. S

    ASKARI YUPO MATAA YA OPPOSITE NA SHERI YA PUMA FIRE ANACHUKUA RUSHWA 3000 KILA BAJAJI

    Acha usnitch we ni mwanaume. Trafiki anaokoa wanaume wenzake wasipigwe faini ef 30 kwenda juu
  11. S

    Donald Trump: Jeshi la Iran shusheni silaha zenu chini na tutawapa kinga vinginevyo mtakutana na kifo

    Kwahiyo wakubali kushindwa bila upinzani. Ndo ujeshi gani sa huo boss
  12. S

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ikiwa ni chini ya siku moja toka Marekani na Iran wafanye mazungumzo huko Ulaya juu ya kusitishwa kwa program ya nuclear ya Iran Leo tarehe 28/02/2026 Israel na Marekani wameishambulia na wanaendelea kuishambulia Iran kutoka pande mbalimbali za nchi hiyo. Ndege za Israel zimeripotiwa...
  13. S

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Hivi kama unaweza kuuwa mtu ili uibe Pikipiki yake kwanini usijiamini kwenda benki na kuiba mapesa kibao huko,,?
  14. S

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Boss Boss ili kuhakikisha haupandishi sukari mara kwa mara kama unavyofanya narudia ushauri tena. Kula balanced diet, Fanya mazoezi, Kunywa maji mengi Naongezea la mwisho usimwaze Samia. Samia iz here to stay. Hutaki hamia Ubelgiji. Nb. Usisahau hili punguza chumvi.
Back
Top Bottom