Hao wairan so kama Waafrika mkuu. Vita ikiisha Leo wape wairan miaka isiyozidi mitano utawakuta mbali sana kiuchumi , kijeshi na kiteknolojia.
Waliwahi kupigana na mataifa yote makubwa mwaka 1981-1988 na Bado wakashinda adui hakutimiza malengo.
Ni katika kipindi hiki ambapo mataifa makubwa hata...
Kwa hali ya kawaida Shabiki unadai hela Yako hapo uwanjani hasa unamdai nani?
Shabiki unaanzisha mkusanyiko ambao unaweza kuleta taharuki wizi na unyang'anyi ila unataka uachwe tu watu wakuchekee. Wanausalama wapo hapo kwa kazi hiyo ukiambiwa toka nje mechi hamna na sababu imetajwa tii. Hutaki...
Hayo ni makazi ya imam Khaminey baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani. Yamepukutika kabisa panebaki Lami. Hali ya imam haijulikani lakini Iran imesema Rais Pezeshkian ni mzima wa afya
Ikiwa ni chini ya siku moja toka Marekani na Iran wafanye mazungumzo huko Ulaya juu ya kusitishwa kwa program ya nuclear ya Iran Leo tarehe 28/02/2026 Israel na Marekani wameishambulia na wanaendelea kuishambulia Iran kutoka pande mbalimbali za nchi hiyo. Ndege za Israel zimeripotiwa...
Boss
Boss ili kuhakikisha haupandishi sukari mara kwa mara kama unavyofanya narudia ushauri tena.
Kula balanced diet,
Fanya mazoezi,
Kunywa maji mengi
Naongezea la mwisho usimwaze Samia. Samia iz here to stay. Hutaki hamia Ubelgiji.
Nb. Usisahau hili punguza chumvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.