Recent content by Sela Son

  1. S

    JamiiForums Tanzania US na EU Kusitisha Misaada na Mikopo, Kuwawekea Vikwazo Wote walohusika na Okt 29, Ku Freeze Mali na Fedha zao za Nje , Watoto wao kurudishwa TZ

    Hakuna Cha EU Wala US. Madhali Tanzania inalinda maslahi Yao ya kiuchumi bila shida, Sahau hizo porojo zako za kuwatetea wezi kwamba zitafanikiwa. Nb.Mkirudia wizi, uvunjifu wa amani na uchomaji wa Mali za uma chuma lazima ilie kuwastopisha manyumbu.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mimi naamini wachina wapo smart sana kwenye UJASUSI ila taalifa zao haziji apa jukwaani

    Hata hao unaowaona wanalalamikiwa daily eti wanafanya Hadi bodaboda Kariakoo nao ni majasusi but ujasusi wao sio wa kutusnitch tupigane no! Wao ni wazee wa fursa, wapi madini? Wapi masoko? Wapi nguvukazi? Hawana time na demokrasia ya kinafki ya Kimagharibi wao maslahi Yao Yako mbele kama tai
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ningerudi upya kufanya maamuzi ya ujenzi nikiwa na usafiri wa uhakika, ningejenga km 20 nje ya jiji au manispaa kwenye mji mdogo, utulivu ni wa muhimu

    Kama Dodoma tu. Ukielekea Iringa km12 hivi tayari ni nje ya mji huko kiwanja ni Milioni 1
  4. S

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

    Mbona ni wazo zuri mkuu.
  5. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Huyu jama mleta Uzi ni tapeli sawa na Lisu na wenzie akina Mbowe. Nb Samia ndie Rais wa Tanzania Hadi mabeberu wanajua hutaki hamia Burundi
  6. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Nisikudanganye mkuu kungekuwa na chochote ningejua tu. Hali yetu hakuwahi kubadilika toka baba alipoondoka. Hakuna msaada wowote uliotoka kwa ndugu baada ya kipindi hicho. Licha ya kuwa nilikuwa dogo lakini miaka 14 nisingeacha kukumbuka chochote kilichotokea. Nakumbuka kila kitu baba aneondoka...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Je siwezi kufika pale NSSF Dodoma wakanipa mawili matatu?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Nipeni mbinu nikajithibitishie tu kama alifanikiwa ama laah
  9. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Mkuu nataka namna ya kuthibitisha tu je mtu yule alifanikiwa? Kama hakufanikiwa tuanze sasa
  10. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Ndio mkuu na huyo ndugu aliacha mazoea na familia baada tu ya kumuendesha mama huku na kule.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Ndio mkuu nipo nao bahati mbaya hawana elimu yoyote tumebaki kulalamika tu hasa tunapokumbwa na hali mbaya ya uchumi.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Wasalam wanaJF Bila shaka mu wazima wa afya kama mimi hapa. Leo bwana nimekuja na jambo linalotesa moyo wangu kwa muda mrefu sana. Familia yetu imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu. Mzee wangu alifariki mwaka wa 2015 akiwa amebakiza miaka takribani miwili kustaafu. Mimi enzi hizo nilikuwa...
Back
Top Bottom