Hakuna Cha EU Wala US. Madhali Tanzania inalinda maslahi Yao ya kiuchumi bila shida, Sahau hizo porojo zako za kuwatetea wezi kwamba zitafanikiwa. Nb.Mkirudia wizi, uvunjifu wa amani na uchomaji wa Mali za uma chuma lazima ilie kuwastopisha manyumbu.
Hata hao unaowaona wanalalamikiwa daily eti wanafanya Hadi bodaboda Kariakoo nao ni majasusi but ujasusi wao sio wa kutusnitch tupigane no! Wao ni wazee wa fursa, wapi madini? Wapi masoko? Wapi nguvukazi?
Hawana time na demokrasia ya kinafki ya Kimagharibi wao maslahi Yao Yako mbele kama tai
Nisikudanganye mkuu kungekuwa na chochote ningejua tu. Hali yetu hakuwahi kubadilika toka baba alipoondoka. Hakuna msaada wowote uliotoka kwa ndugu baada ya kipindi hicho. Licha ya kuwa nilikuwa dogo lakini miaka 14 nisingeacha kukumbuka chochote kilichotokea. Nakumbuka kila kitu baba aneondoka...
Wasalam wanaJF
Bila shaka mu wazima wa afya kama mimi hapa. Leo bwana nimekuja na jambo linalotesa moyo wangu kwa muda mrefu sana.
Familia yetu imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu. Mzee wangu alifariki mwaka wa 2015 akiwa amebakiza miaka takribani miwili kustaafu. Mimi enzi hizo nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.