Recent content by Sela Son

  1. S

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi kata ya Mkonze na Ntyuka mkoani Dodoma hatuna maji zaidi ya mwezi

    Leo ni zaidi ya mwezi mmoja na nusu sisi wananchi wa kata za Mkonze na Ntyuka na vitongoji vyake vya Chidachi, GOBA na Shekinah hatupati maji ya DUWASA lakini ni ajabu zaidi kwa uhaba huu wa maji DUWASA wamekuwa wakileta bili za maji tena kubwa bila kujali hali hii.Ni Nini kimewakumba enyi...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Mzee wangu unachotamani kitokee hakitatokea.AfCON inakuja na haitazuilika na choko yeyote. Kwahiyo kwa fikra zako Rwanda ni nchi salama kwa oppositions kuliko Tz? Anyway Samia is here to stay. Endelea kupiga kelele 2030 sio mbali.
  3. S

    JamiiForums Tanzania US na EU Kusitisha Misaada na Mikopo, Kuwawekea Vikwazo Wote walohusika na Okt 29, Ku Freeze Mali na Fedha zao za Nje , Watoto wao kurudishwa TZ

    Hakuna Cha EU Wala US. Madhali Tanzania inalinda maslahi Yao ya kiuchumi bila shida, Sahau hizo porojo zako za kuwatetea wezi kwamba zitafanikiwa. Nb.Mkirudia wizi, uvunjifu wa amani na uchomaji wa Mali za uma chuma lazima ilie kuwastopisha manyumbu.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mimi naamini wachina wapo smart sana kwenye UJASUSI ila taalifa zao haziji apa jukwaani

    Hata hao unaowaona wanalalamikiwa daily eti wanafanya Hadi bodaboda Kariakoo nao ni majasusi but ujasusi wao sio wa kutusnitch tupigane no! Wao ni wazee wa fursa, wapi madini? Wapi masoko? Wapi nguvukazi? Hawana time na demokrasia ya kinafki ya Kimagharibi wao maslahi Yao Yako mbele kama tai
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ningerudi upya kufanya maamuzi ya ujenzi nikiwa na usafiri wa uhakika, ningejenga km 20 nje ya jiji au manispaa kwenye mji mdogo, utulivu ni wa muhimu

    Kama Dodoma tu. Ukielekea Iringa km12 hivi tayari ni nje ya mji huko kiwanja ni Milioni 1
  6. S

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

    Mbona ni wazo zuri mkuu.
  7. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Huyu jama mleta Uzi ni tapeli sawa na Lisu na wenzie akina Mbowe. Nb Samia ndie Rais wa Tanzania Hadi mabeberu wanajua hutaki hamia Burundi
  8. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Nisikudanganye mkuu kungekuwa na chochote ningejua tu. Hali yetu hakuwahi kubadilika toka baba alipoondoka. Hakuna msaada wowote uliotoka kwa ndugu baada ya kipindi hicho. Licha ya kuwa nilikuwa dogo lakini miaka 14 nisingeacha kukumbuka chochote kilichotokea. Nakumbuka kila kitu baba aneondoka...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Je siwezi kufika pale NSSF Dodoma wakanipa mawili matatu?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Nipeni mbinu nikajithibitishie tu kama alifanikiwa ama laah
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Mkuu nataka namna ya kuthibitisha tu je mtu yule alifanikiwa? Kama hakufanikiwa tuanze sasa
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Familia imedhulumiwa mafao ya marehemu baba yetu.

    Ndio mkuu na huyo ndugu aliacha mazoea na familia baada tu ya kumuendesha mama huku na kule.
Back
Top Bottom