Hellow mambo vipi wadau wangu wa JF.Bila shaka mu wazima wa afya.Ama baada ya salam niseme tu kwamba nimewakumbuka Ile noma.Nimemiss kuona sura zenu sijui kwanini mnaficha tambulisho zenu.
Leo wanaJf nimekuja na hili.Hapo zamani nilinunua kiwanja huko Dodoma Squaremita 453 .Nikaondoka muda...
Kuna mshikaji wangu mwaka juzi aliwahi kuniambia kwamba Heche ni mtu wa karibu mno na system.Nikambishia ila akanambia kama uzima upo hili utalishuhudia. Ndo mpaka Leo naendelea Kuwait.
Akanambia pia JohnNyika ni mtu wa huko pia.Sijui ka ni kweli .Naendelea kusubiri.
Ila nilimuuliza ikiwa ni...
Ukipata muda fuatilia kuhusu Wamarekani hawa kadhaa walioshiriki vita upande wa Russia.
Russell Bentley ("Texas"):
Wilmer Puello-Mota ("Boston"):
Patrick Lancaster:
Derek Bales ("Grey Lynx"):
We unaona ni kazi rahisi kupigana na nchi inayofadhiliwa na mataifa zaidi ya 70 duniani?
Unaona ni rahisi kuwa nchi iliyokumbwa na VIKWAZO vingi zaidi vya kiuchumi kuliko zote duniani toka dunia iumbwe na Bado Wana survive?
Kwani Kuna mtu Huwa anawaamini hao malaya wa Marekani,Ulaya na Kenya?
Majitu haya ni maongo sijawahi kuona. Juzi yakatwambia Mnyiramba ameuma shuka dakika mbili Mzee huyu hapa. Uongo kila day. Siku nyingine huna taarifa usipost.
Inawezekana ni kweli Waafrika wanakufa vitani kwaajili ya Russia lakini huko Russia Kuna Hadi Wamarekani wanaopigana dhidi ya Ukraine lakini pia Ukraine Ina wapiganaji wa Kiafrika dhidi ya Russia.
Nb.Russia ya sasa sio nchi dhaifu ya kuyumbishwa sana na beberus.Wako imara zaidi kuliko...
Maskini Marekani..
Juzi wamepoteza ndege Tisa zilizopigwa na makombora ya Iran huko Jordan. Kwa mujibu wa taarifa Yao ndege 8 chapa F16 zilipata light injuries wakati A.10 War hog ilipoteza bawa kwenye shambulio Hilo. Kwingineko siku hiyo hiyo zilionekana helicopter kadhaa zikihamishwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.