Hanspope unayemzungumzia ni huyu wa juzi wa Clabu ya Simba? Coz mzee Hanspope mwenyewe akiwa na cheo Cha polisi Cha SACP alifariki vitani Uganda mwaka 1979.
Bila shaka if am not mistaken mwili wake ulirudishwa mwaka 1981 ukazikwa Kwa Heshima.
Dah Wydad wamekuwa na Anguko baya la haraka lisilo la kawaida. Hebu fikiria kutoka kucheza fainali ya klab bingwa waliopigwa na Ahly msimu juzi, kutoka fainali ya African super league mwaka Jana Hadi kutoshiriki kabisa ligi ya mabingwa.
Ohh poleni wydad
Iran taifa la kibabe . Wababe wa kihistoria, wanafizikia, kemia, na utabibu.
Baada ya kuchoka unyonyaji wa UK, na collective West wakaamua kurudi katika historia wakagundua wao ni wakubwa superior race Wala si waarabu kati kati ya mamilioni ya waarabu. Wao walikuwa superpower kipindi flani Cha...
Yaani maandamano Kwa nchi kama Iran ukionesha kuwa muumini wa mitizamo ya kimagharibi kama demokrasia Yao. Utaondoka.
Ni kama Kwa nchi kama Israel uanze kuonesha misimamo ya kuiunga mkono Iran . Hutabaki salama.
Ulizia kilichompata Yizhak Rabin alipojaribu normalization na Wapalestina.
Pia...
Sasa kama we msaliti wa mother nation utaachwa?
Yaani we unakua rafiki na adui wa taifa lako.
We ndo wa kuunganisha assassination plot dhidi ya viongozi wa kijeshi, mabalozi na wanausalama wengine.
Wewe ndo mhamasishaji wa maandamano hatari juu ya taifa lako Kwa jina la demokrasia.
Nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.