Habarin za mida hii, naomba kupata mtu/watu/taasisi wanaojihusisha na kutoa mikopo kwa riba nafuu, nipo Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukum ya siku nzima....
Kuna mdada nimekaa nae kwenye mahusiano kw zaid ya miaka 3 na kwa sasa tumeacha hata mawasiliano hakunaga ila cha ajabu ninamkumbuka sana hata nikiwa kwenye mahusiano mengne bado namkumbuka hata nikitumiwa msg nzuri na mpenzi mpya nahisi kanitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.