Namkumbuka sana...

Namkumbuka sana...

kila binadamu ana vitu vinne MWILI, ROHO, AKILI na HISIA
kwako ndugu yangu AKILI na ROHO imeshaona umeachana naye lakini HISIA bado zipo cha kufanya fuata AKILI na ROHO maana ndo kila kitu achana na hisia icontrol kabisa hizo hisia then utasonga tuu kwa nduggu
 
Mh itakuwa ulimuumiza nafs imekusuta. Muache fanya mambo yako ukome kuzingua watu
 
Naona weye wangojea sana kuambiwa. Hapana, fanya juu chini umwone mwenyewe. Ka mlimalizana kwa ukuda, weye shuka mpe moyo wako, ka weye ndo ulilianzisha, nunua bunda la rose mkabidhi na ka memo kuwa "Am sorry" mambo ndo yaendavyo. Hakuna ugomvi usio na mapatano. Mkumbushe ya zamani
Ndugu nimefanya hvyo na siyo mara moja hadi nikajikuta natumia mda mwingi na gharama kwaajili yake na anaishia kunishukuru tuu
 
Sidhani kama kuna kitu kinatwa kuachana. Itakuwa ama ulimwacha au alikuacha. Katika mazingira hayo, nani alimwacha mwenzake? Nahitaji kuja hili kabla ya kukushauri ufanye nini.
 
Yaan nyie vitu mnavyokuwa mnafikiria ndo vinavyowatukanisha. Pumbavu!
 
Back
Top Bottom