Recent content by Sekunde chache

  1. Sekunde chache

    Ubunifu: Vyakula vya Kibongo.. Bara na Pwani .... Makabila yote, mapishi yote

    Ugali sawa, ila msukuma na chapati wapi na wapi?! Hapo kwenye ugali pamepungua mtindi (maziwa ya mgando) ili kuufanya uonekane ni mlo wa kisukuma hasa.
  2. Sekunde chache

    Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Bila Tanzania Kagame asingefika popote!. Anachofanya Kagame kwa sasa dhidi ya Tanzania ni kile wanachosema kwa lugha ya kinyarwanda ( pia Kirundi,kiha,kihangaza na kishubi ) ya kwamba : " UMUYOVU UMUVURA AMASO,BUKEYE AKAYAKUKANURIRA!". au kwa kiswahili " shukrani za punda ni mateke".
  3. Sekunde chache

    Licha ya Katiba Mpya huko Kenya lakini imeshindwa kuzuia mauaji, kukosa ajira na njaa. Watanzania mnajifunza nini?

    Kama katiba imewapa uhuru wa kuandamna sasa inakuwaje wanauawa tena?! Point ya mleta uzi ipo hapo ya kwamba tunaweza kuwa na katiba mpya na bado matatizo yakabaki palepale kama ambavyo hiyo katiba ya Kenya imewapa wananchi uhuru wa kukusanyika na kuandamana na bado wakiandamana wanauawa kwa...
  4. Sekunde chache

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Inasemekana ni pamoja na utafunaji wa mirungi na kuna nyingine mpya wanatafuna siku hizi inaitwa mkokaa! Majani hayo ya kulevya ambayo kwenye nchi yao siyo haramu kama somalia na Yemen ndio yanawavuruga akili!
  5. Sekunde chache

    Video ikionyesha waumini wa Madhehebu ya Shia wakiadhimisha Ashura kwa kumlaki farasi wa Imam Hussain Zuljanah kwa kulia

    Shia ni kafiri moja kwa moja. Khilafu ipo kwa wale waswahili walioingia kwenye ushia kutafuta misaada hali ya kuwa hawajui chochote kuhusu itikadi chafu za kishia. Kwa mtu aliyesoma itikadi za kishia nje ndani kisha akaendelea kuwa nao hapana shaka juu ya ukafiri wake.
  6. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Kama kuna mtu anajua kisa hiki atuambie huyo mtu anayemsalimia mzee Mgabe ni nani na kwanini Mzee Mgabe alikataa kumpa mkono?!
  7. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Kuna makabila madogomadogo hayajawekwa. Kwa mfano kule Ngara mkoani Kagera kuna kabila wanaitwa WASHUBI ( Sio wasubi wa Biharamulo ) hawajatajwa!.
  8. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Kobazi?! Miaka ya 1990 mwanzoni tumesoma na wanafunzi wanakuja shuleni hawana hata lapa la kuvaa mguuni yaani wanatembea peku kwenye shule ya msingi ya kata ,wewe unaulizia kobazi zama za mjerumani?! Miaka hiyo ukipata kobazi si utaitwa mtoto wa kishua ?!
  9. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Hii ni team ya bush star, professor atakuwa team ya borntown!
  10. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Vitabu vya huyu Hammie Rajabu sijabahatika kusoma hata kimoja.
  11. Sekunde chache

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Hapa Idd Amini yupo na watawala wa nchi ya Saudi Arabia mwishoni mwa mwaka 1979.
Back
Top Bottom