Endelea hivyo hivyo, naona una bachelor ya Law ndo unajiona msomi... Mtu mwenyewe umesoma maigizo tu.... Nina bachelor ya Medicine DOCTOR na MMD.. PUMBAVU SANA WEWE NA UWE NA ADABU And I did my Masters at ROYAL COLLEGE LONDON SASA MPUMBAVU WEWE NA BACHELOR YAKO HIYO YA UDSM UNAJIONA MSOMI.... NA...
Nimeamini waTZ tuna Chicken IQ, Yaani suala la ESCROW lilipigiwa kelele na Nchi ikawa katika Mhemko leo hii wamekamatwa mnaleta siasa Tena Duuuuhhh Noumer sana... Nimeelewa kwa nini Jamaa hasikilizi mtu
Hawa Vijana Wapumbavu sana..... Kwanza Inabidi wakamatwe Immediately. Ngoja tuwafuatilie, yaani Unang'ang'ania Msikiti ulienda Kuswali hapo. Pumbavu sana. Tena Pumbavu sana. Upumbavu wa Njano Kabisa. SHENZI SANA MASHETANI. HIZI DINI ZENYEWE ZIMELETWA NA WATU HALAFU MNATAKA KULETA UJINGA HAPA...
Aisee upo vizuri sana, halafu mi mwenyewe msukuma kama wewe, vile vile ni doctor we nitafute tu niwe mumeo najua kila kitu.... Coz naujua mwili wa binadamu ulivyo.... Dushe siwezi kuisifia itakuwa kazi yako hiyo
Mkuu ngoja nikwambie kitu, hawa wanawake ni shida sana. Huwa nahisi kwenye Ubongo wao huwa kuna Ushenzi. Cha kukushauri itatokea siku utapata tatizo atakuacha utaja teseka sana na ndugu zako lazima wakae mbali kidogo na wewe coz lazima watakuwa wanadhani unamsikiliza mkeo. Sasa chukua hatua...
Nchi za watu wasomi, sasa hivi wananchi wa dar es salaam tungeandama Makonda akatoka. Lakini saivi wamebinya Uhuru wote..... YAANI MAKONDA ANAKUWA NA POWER KIASI HIKI..... ALIANZA VIZURI KWENYE MADAWA YA KULEVYA LAKINI KAMA ANGEKUWA MZALENDO ANGEJUA AMEIFANYIA MAKOSA JAMHURI ANGEJIUZULU LAKINI...
Huyu ni UVCCM kabisa, huwa wana mawazo ya kijinga jinga, nipo CCM yaani hawa Vijana ukionekana unashauri haki wanaanzishs fitina. Macho yote yamewatoka kusubiri KUTEULIWA kuwa DED, DC na RC. Waoneeni huruma watz. Tz siyo ya CCM, BALI NI YA WATZ.... MImi nipo CCM LAKINI UJINGA WA HAWA WATU HUWA...
UVCCM, ina vijana ambao hawana akili kabisa, mimi nilikuwa ccm lakini kwa akili za hao nilovyowaona ni sifuri kabisa. Yaani they are there kusifia tu, ukitaka kusema jamani hapa tufanye hivi. Utasikia huyu wakala wa chadema. Yaani ni sifuri kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.