Matokea ya uchaguzi wa serikali za mitaa yametoa taswira ya namna vyama vya upinzani nchini vitaendelea kuwa wasindikizaji.
Vyama hivyo vitaendelea kuisindikiza CCM na kukiacha kiking'ara kuendelea kushika dola.
Marehemu Lowassa aliwahi kusema, " tukishindwa safari hii tutahitaji miaka 30...
Gentamycine; alazwe mahali pema peponi Sophia Yamola.
Msama mjanja mjanja aliye shirikiana na wajanja wajanja wa mjini kufanya ujanja ujanja kumiliki viwanja.
Arobaini zake ziketimu.
Aliyekufa kafa...acha aisubiri hukumu itakayotokana na matendo yake aliyoyatenda akiwa hai.
Ya nini kutumia rasilimali za Taifa kuchunguza kifo cha mtu ambaye historia ya afya yake ilishaonesha kuwa siku zake zisingelikuwa nyingi.
Kama hiyo ndiyo idadi ya watu waliohudhuria mkutano wa Mbowe, halafu ni kwao Hai kwa wamachame wenzake ambako pia aliwahi kuhudumu kama mbunge; basi Mbowe kwisha habari yake.
Akazanie tubiashara twake huenda akazeeka akiwa na uhakika wa kupata chai.
Siasa kwake kwa sasa...imemshinda.
Mtaendelea kufurahia na kushangilia ushindi wa wengine.
Ninyi hapa nchini kushinda; labda baada ya miaka 100 ijayo.
Watanzania wana imani kubwa na CCM.
Na kwa sasa wana imani kubwa sana na Rais Samia Suluhu Hassan. Mama yetu kipenzi cha wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.