Kuna kitu inaitwa massage iyo haijawahi mwacha mwanaume salama. Ubaambiwa vua nguo zote unabaki na kaboxer demu anakuja kukusugua mgongoni ukimgusa tu kwenye vimakalio anakuuliza utanipa sh ngapi nivue nguo kabisa!
Traffic wanasaidia sana badala ya kutoza faini 30000 wanachukua 5000 tu ya kubrashia viatu! Walai mkweche wangu silipi bima wala takataka gani. Ni mwendo wa buku 5 tu
Mademu Wa kibongo wana njaa hadi Matakoni. Mwenyewe juzi Nina njaa zangu nikaenda kwenye Kitimoto nikaagiza robo kilo na ndizi za jero yaani ndizi 2 Mara ghafla ukatokea mchepuko wenyewe ukaongezea pale kwenye Oda yangu nusu na kufanya robotatu kilo na bado ukaagiza kachumbari,ugari na ndizi...
We zama hizi unataka bikira utampata sayari gani!? Duniani hususani Bongo wameisha . Kama ukibahatika mpata uyo bikira basi watakutombea ukiwa nae ndani
Acha kufikiria ngono. Wanawake wrote hutombwa sana tu. Kama ulimkuta bikira bado anatombwa ili tu abadili radha ya mboo. Kama kipato cha chini ndiyo usiseme yaani vurugu tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.