Mizinga ni Janga la Mapenzi!

Mizinga ni Janga la Mapenzi!

Ni hv nimeamka zangu mapema nikasema Leo Nina buku 6 acha nikanunue nyama nipike nile gheto nipumzike kula ugali na Mayai!basi wakati nimefika tu sokoni nakutana na koloni langu(Japo nilishampa Uhuru kitambo)nikampa hai kwa mbali na kumpotezea kimtindo! Kumbe ananifuatilia kwa nyuma bila ya Mimi kujua kabla ya kuanza kununua nyama nikaona ninunue nyanya kwanza ili nikampige sound muuza nyama apunguze bei sasa wakati naanza kuchukua nyanya akafika yule koloni akaanza na yeye kuchukua nyanya,vitunguu,karoti na vitu vingine vingine vidogo na kumwambia muuzaji kwamba nitalipa mimi!nikataka kumwambia mimi sina hela akaniambia wakati ule wakati nadate naye sikuwahi kumpa hata shilingi!mzee mzima nikabaki nimeduwaa tu mara demu huyo akaondoka zake!kupiga mahesabu amechukua vitu vya buku tatu!ndio hapo nikahairisha mpango wa kununua nyama nikaamua tu nilipe deni la watu sasa hv nipo gheto nakula ugali na kachumbari! Wanawake mnavyofanya sio fair
Ungenunua robo tuu
 
Mademu Wa kibongo wana njaa hadi Matakoni. Mwenyewe juzi Nina njaa zangu nikaenda kwenye Kitimoto nikaagiza robo kilo na ndizi za jero yaani ndizi 2 Mara ghafla ukatokea mchepuko wenyewe ukaongezea pale kwenye Oda yangu nusu na kufanya robotatu kilo na bado ukaagiza kachumbari,ugari na ndizi! Duuu nilichoka sana . nikalipa hela nyingi kinyume na bajeti uangu. Mademu Wa siku wana njaa sana
 
Mademu Wa kibongo wana njaa hadi Matakoni. Mwenyewe juzi Nina njaa zangu nikaenda kwenye Kitimoto nikaagiza robo kilo na ndizi za jero yaani ndizi 2 Mara ghafla ukatokea mchepuko wenyewe ukaongezea pale kwenye Oda yangu nusu na kufanya robotatu kilo na bado ukaagiza kachumbari,ugari na ndizi! Duuu nilichoka sana . nikalipa hela nyingi kinyume na bajeti uangu. Mademu Wa siku wana njaa sana
Mkuu si unadada au hayo maneno hayamuhusu
 
Ni hv nimeamka zangu mapema nikasema Leo Nina buku 6 acha nikanunue nyama nipike nile gheto nipumzike kula ugali na Mayai!basi wakati nimefika tu sokoni nakutana na koloni langu(Japo nilishampa Uhuru kitambo)nikampa hai kwa mbali na kumpotezea kimtindo! Kumbe ananifuatilia kwa nyuma bila ya Mimi kujua kabla ya kuanza kununua nyama nikaona ninunue nyanya kwanza ili nikampige sound muuza nyama apunguze bei sasa wakati naanza kuchukua nyanya akafika yule koloni akaanza na yeye kuchukua nyanya,vitunguu,karoti na vitu vingine vingine vidogo na kumwambia muuzaji kwamba nitalipa mimi!nikataka kumwambia mimi sina hela akaniambia wakati ule wakati nadate naye sikuwahi kumpa hata shilingi!mzee mzima nikabaki nimeduwaa tu mara demu huyo akaondoka zake!kupiga mahesabu amechukua vitu vya buku tatu!ndio hapo nikahairisha mpango wa kununua nyama nikaamua tu nilipe deni la watu sasa hv nipo gheto nakula ugali na kachumbari! Wanawake mnavyofanya sio fair
sikuhizi mimi nikiona msg BABY NIKWAMBIE KITU!hapo nazima simu kuiwasha usiku saa sita najua ameshalala na mishida yake
 
Daah juzi nimepigwaa mzinga wa 20 dadekii afuu leo yule manzi analeta nyodooo...!! Falaa sanaaa yuleeee.... Wanawakee wotee malayaaa tuu..

Mh!!, mkuu umewaza kweli?? Maana hapo wapo akina shangazi, dada, mama na mama wadogo zako pia.
 
Back
Top Bottom