mnasumbua waandishi wa habari na hakuna cha maana mnachosema zaidi ya kulialia na kutoa puvu kutaka gaidi Mbowe aachiwe kinyume na sheria. Sijawahi kuona popote magazeti yanaandika uongo wa Mnyika baada ya Press conference. Hivi hamjiulizi ni kwa nini?
You are controdicting yourself. Hivi miradi ya SGR , Julius Nyerere Hydro power, elimu bure kwa watoto wa kitanzania, maboresho ya huduma za afya, ujenzi wa miundo mbinu ya barabara, umeme na miradi mingine mingi unayoijua siyo miradi ya matokeo ya muda mrefu.? Napata shida sana kukuelewa.
Yaani wewe hujui kabisa uchambuzi wa kisiasa lakini hutaki kuacha. Unaeleza vitu visivyo na uhusiano. Sijui ulisoma shule gani. Umeeleza kana kwanba ndiyo mara ya kwanza Maalim Seif anajiunga na serikali. Kana kwamba CHADEMA ina hata kiongozi wa Shina Zanzibar. Hujui siasa ,achana nayo. Nenda...
Intelijensia nzuri ni kuzuia kabla tukio halijafanyika na kuleta madhara. CHADEMA wao wanasubiri kuvua watu uanachama tena bila kuwasikiliza. Nahurumia wanaoshabikia CHADEMA
Habari za Lissu siyo habari tena. Amechuja siyo tu Tanzania lakini pia hata huko aliko. Watu wanakuchora sana unavyoendelea kuhangaika na kuleta habari zake humu. Jitambue na chukua hatua
Hii clip ni ya zamani. Haina maana tena. Suala hili lilishakwisha na wala hakuna lolote lililobadilika kwenye uhusiano wetu na Umoja wa Ulaya. Tunaendelea kuwa na uhusiano mzuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.