MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
Leo Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Magufuli ameweka picha akiwazodoa wanaosema ndege haziji Tanzania.
Nami nakubaliana naye kuwa Uwanja wetu wa kisasa JNIA unapokea ndege nyingi kupita kiasi (kuchafuka).
Tanzania inatajwa kuwa ni moja ya nchi chache Afrika zinazopendwa sana kutembelewa na watu wengi . Hali inasababishwa na mazingira bora, usalama mkubwa, miundombinu ya kisasa, siasa safi na demokrasia na uchumi bora.
Maoni yaliyokusanywa na mwanaharakati Chakabars huko Twitter, katika nchi 54 Tanzania ilishika namba 1 kama nchi ambayo African Americans wangependa kuishi endapo itawabidi kuishi Afrika.