Recent content by second chance

  1. second chance

    Nipe maoni yako mdau, natokaje hapo na hawa NIDA

    Habari za wakati huku wanajamvi wa jamii forum. Natumai mu wazima wa AFYA teletele. Napenda kutumia fursa hii kuwasilisha dukuduku langu kuhusu masuala ya USAJILI wa huduma mbalimbali katika kizazi hiki. Tunaishukuru serikali imeleta USAJILI kupitia NIDA na kupitia NIDA, watu wafanye USAJILI wa...
  2. second chance

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Single mothers (sio wote) wanajielewa sana kwenye ujasiriamali kuliko hawa walioolewa.
  3. second chance

    Kumbe wanawake wanapenda mahusiano yenye mikikimikiki

    Usipomchokoza atakuchokoza, kimsingi kama mwanamme unatakiwa usitabirike kwa mwanamke mpige zigzagi za maana na huku ukifocus kwenye maendeleo.
  4. second chance

    Kupatanisha wanandoa

    Mkuu mimi nakutia moyo. Naamini utafanikiwa. Zipo hizi ndoa changa, wanapendana lakini hawaelewi elewi mambo yanaendaje; hawa wanahitaji msaada wa ziada. Ni tofauti na zamani wanandoa walipewa semina na mwishowe wanafanya test kwa kujibu maswali.
  5. second chance

    Ukiona mwanamke wako ana kuheshimu na kukutii kwa viwango vya juu basi tambua kuwa ameshindwa "kuku-manipulate". Haijalishi pesa au status yako

    Hakuna graduate wa kutambua tabia na hulka za mwanamke mkuu. Unaweza ukafanya yote na juhudi zako zisidhaminiwe. Na pia anaweza kuwa na malengo yake binafsi (mke) makali sana kumzidi mume ndani na asijue (mume). Na atayaficha (malengo yake) kwa kuonesha utii, adabu na heshima kubwa. Ishawahi...
  6. second chance

    Uchumba wa zamani nani anaukumbuka? Wa miaka ya 80 mpaka 2000?

    Sijui kama tutarudi, jamii imepotoka sana. Enzi hizo vijiji vilikuwa na wanawake wa kuoa na wanaume waoaji kweli kweli. Wanaume waoaji wapo, ila tatizo ni movement
  7. second chance

    Naomba anayefahamu biashara ya Mbao anipe mchanganuo jinsi ya uendeshaji

    Kuna mikoa ya Njombe, Iringa Mbeya huko nina experience nako. Faida wanapata sana, wanaonunua mti moja kwa moja kwa mkulima na kuprocess mbao kwa saizi tofauti tofauti na kusafirisha mbao mpaka yalipo masoko kama Zambia, Makambako n.k. Faida -Mkulima hajui uhalisia wa faida utakayoipata, kwa...
  8. second chance

    Nashukuru ninachokipata na ninachopewa

    Familia kama familia; paradiso ndogo, sehemu ya amani na makubaliano na waswahili walisema mchuma janga hula na wa kwao. Kwa vyovyote iwavyo mta'solve' na kusonga mbele kama familia ikiwa mmoja wenu amepotoka. 👆👆Nina experience na hilo Lakini kinyume chake ni sehemu hatari sana ikiwa viongozi...
  9. second chance

    Mambo yatakayofanya uitwe mshamba

    Mkuu nimekuelewa, hints zote zinanigusa maisha yangu since o'level. Nipo na jamaa since 2008 ndo kampan yangu, saivi kaoa namim nimeoa, akiwa na shida nambust nikiwa na shida ananibust, ni zaidi ya ndugu. Kampan kubwa isio na msaada ni mzigo.
  10. second chance

    Mwanaume usiweke matumaini makubwa sana kwenye ndoa

    Kwa ushauri wale ambao hawajaoa, OA TYPE YAKO NA HAKIKISHA HAPANDI VIWANGO VYA UHURU WAKE ZAIDI YAKO
  11. second chance

    Ndoa ni kambi jeshi na mume ndiye mkuu wa kikosi, mume simama katika nafasi yako

    Maisha yanabadilika sana upande wa ndoa, kuna wakati mwanamme aliweza kuishi na wanawake kumi kwa wakati mmoja, na baadae mimi binafsi nilishuhudia dingi mmoja kajenga nyumba na anashare na wake zake wawili sebule moja, chakula dinner na lunch na chai asubuhi wanakula pamoja na amani imetawala...
  12. second chance

    Imeniuma sana, Wanawake ni viumbe hatari kwakweli

    Mambo ni mengi wakuu, chart 📈 ya kuchepuka inazidi kukweya viwango, movement ya kataa ndoa nayo haipo nyuma, ndoa ya kisheria imekuwa mzigo, 50/50 ni tatizo nowadays, Lakin ndoa ni taasisi muhimu kuianzisha japo si lazima. LABDA HII STORI UTAPATA KITU UKIIPITIA, NAKUSIHI USIKATAE NDOA...
Back
Top Bottom