Hapo sasa, Rais kasema ongezeko kwa wote ikiwemo kima cha chini. Ila watu wanakazania ooh kima cha chini tu... Yani sijui ni wivu [emoji1][emoji1] mtu anaona haimuhusu hii so anaona akatishe wenzie tamaa.
Jamani kaongeza kwa wooteee. Rudieni msome vzr "Rais ameridhia ongezeko mapendekezo ya ongezeko la mshahara ikiwemo kimo cha chini kwa watumishi wa umma kwa 23.3%" so ni wote ikiwemo hao kima cha chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.