Fungus standing order. CRDB wanafanya. Unaweka hela kwa account then mnakubaliana kila tarehe ngapi wanachukua kiasi mlichokubaliana na kukutunzia kwenye hiyo subaccount.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu nyote wanajamvi.
Kama heading inavyojieleza, huduma muhimu kama chakula na maliwato zipo chini ya kiwango katika maeneo ya kusubiri kivuko ya Busisi na Kigongo hapo chini ya kiwango hali inayopelekea baadhi ya wasafiri kufurahia safari zao.
Mapungufu yaliyopo Ni mazingira...
Habari za kutwa mzima wana jamvi.
Kama mada inavyojieleza hapo juu, "Ninaomba kuelekezwa utaratibu wa kupima DNA. Lengo ni kujua baba halali wa mtoto.
Shukran
Ni kweli kabisa, Maziwa ya mama alietoka kujifungua yana faida kubwa sana has a ktk kuimarisha kinga ya mwili.
Mtoto akiwa mchanga huwa hamalizi maziwa, matokeo yake mama hupata maumivu kutokana na matiti kujaa. Moja ya tiba hii ni kuyakamua. Sasa badala ya kuyakamua na kumwaga si bora tu baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.