Nimevutiwa na comment yako ningependa kujihusisha moja kwa Moja na biashara hii ya kimtandao. Je nini kinahitajika hasa katika biashara hii? 0714487311
Inanisikitisha hata suala hili nalo mnaliingiza kwenye siasa, hasa kwa kuilaumu ccm utadhani wao ndio wana leta mvua. Ni mara ngapi watu wameambiwa watoke mabondeni hawataki kusikia? Hata kama chama unacho kitaka wewe kingekuwa madarakani ndio kingeweza kuzuia mafuriko? Jaribuni kufikiri kabla...
nahitaji kufanya biashara ya nguo za kike hasa mitumba nahitaji ushauri wa kina kabla sijaanza kwakuwa wewe ni mzoefu naomba tuwasiliane namba yangu hii hapa +255 0714 4873 11
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.