Recent content by SDG

  1. SDG

    Video ya Mahubiri ya Askofu Mwingira yaondolewa mitandaoni

    Leo kafutwa yeye...
  2. SDG

    Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

    USSR, Unashindwaje kutofautisha MKOPO na MSAADA?
  3. SDG

    Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

    Mmmmh....niko Tangi bovu hakuna mvua na sijalowa.... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. SDG

    Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

    Nakubaliana na wewe....ukanda niliopo hakuna mvua,kuna mawingu na upepo tu..... Sent using Jamii Forums mobile app
  5. SDG

    Mwanasheria Tito Magoti wa LHRC achukuliwa na watu wasiojulikana; Polisi wasema wanamhoji na wenzake 3

    Polisi wamekiri kumshikilia, haya sema Polisi ipo chini ya NGO?
  6. SDG

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kuhamia au kuishi unapokuwa nchini Marekani

    Mayor hii ngumi jiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  7. SDG

    Usafiri wa treni reli ya kati yageuka sasa ni mateso

    Why unasema changamoto chache? Yaani huo ndio usafiri wao wa uhakika then ndio wanapata shida. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. SDG

    Dar Lux, kampuni bora ya mabasi inayoelekea kaburini

    Princess Muro pamoja na ubovu wa mabasi yake,ila kafanikiwa kuyauza yote....Bongo hakuna kitu kibaya wala kibovu. Dar Lux akiamua kuyaweka sokoni hayo mabasi atayauza....within a short time. Hofu yangu ni kwamba mabasi ya long route huenda huwa hayafanyiwi service hasa yanapofika usiku...
  9. SDG

    Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

    Wenyeji wameingiwa na tamaa, baada ya kusikia ni makao makuu, lakini wamesahau kuwa limebadilika jina tu,hawasomi alama za nyakati hata kidogo
  10. SDG

    Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

    Hebu weka hiko kipande kipo kwenye sheria au kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa? Mie nimesoma kanuni tu ambayo inasema ukiwa mgombea unapaswa uwe umedhaminiwa na chama.....sasa chama kimeshasema hakitashiriki uchaguzi mgombea atadhaminiwa au atapeperusha bendera ya chama gani?
  11. SDG

    Jumapili Prof. Assad alikuwa akitafutwa anasema yupo nje ya Nchi

    Wengine elimu zao za hapa na pale na hata vyeti wameshindwa kuonesha japo mamlaka wanayo
  12. SDG

    Wabunge wamchoka Mbunge Kiruswa kwa kugongea lifti

    Simu hazina faragha. Tusijidanganye. Ila wamchekeche
  13. SDG

    Green card lottery

    Jesse J Mwaka huu hakikisha unajaza form kabla Nov 5 haijafika au haijapita.
  14. SDG

    Series (Special thread)

    Naomba series inayoanza iwe walau episode ya 2 au ya 3 na iwe inahusisha crimes na intelijensia
Back
Top Bottom