Princess Muro pamoja na ubovu wa mabasi yake,ila kafanikiwa kuyauza yote....Bongo hakuna kitu kibaya wala kibovu.
Dar Lux akiamua kuyaweka sokoni hayo mabasi atayauza....within a short time.
Hofu yangu ni kwamba mabasi ya long route huenda huwa hayafanyiwi service hasa yanapofika usiku...
Hebu weka hiko kipande kipo kwenye sheria au kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa?
Mie nimesoma kanuni tu ambayo inasema ukiwa mgombea unapaswa uwe umedhaminiwa na chama.....sasa chama kimeshasema hakitashiriki uchaguzi mgombea atadhaminiwa au atapeperusha bendera ya chama gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.