Recent content by SCOAN

  1. S

    Ridhiwani Kikwete! Akishinda ubunge Chalinze nahama Nchi

    Mbona LizOne tunamuona kwenye ITV habari anajielezea vizuri tu?..we utakua na lako jambo.
  2. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    It means huamini hata uponyaji ulioandikwa kwenye Biblia. Kama huelewi kitu ni vizuri ukaacha kukoment
  3. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Eiyer: Sio unyonyaji- Swala ni uelewa. Na hulazimishiwi kupata huduma. #Faith comes from the Heart
  4. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    batchu: Tumekuelewa...njoo ofisin kwetu tukupe sticker na antg water bure.
  5. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    annabrenda: wengine mnamajungu tu. Barikiweni sana
  6. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    batchu: Tusamehe ndugu yetu....hatuna tabia hizo na usituchafulie tafadhali.
  7. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    @sylm: Samahani sana.
  8. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    KIBONGOMKUTI: Nisamehe kwa lugha yangu
  9. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    @sylm: Sidhani kama ni kweli....mnamzingizia bure mtumishi wa Mungu. Nawaomba radhi kwa wote walipata matatizo kwa namna moja au nyingine kwani wakati mwingine hua anakua hayupo ofisini na kuwakabidhi watu wakumsaidia. Tunaomba radhi kwa hilo.
  10. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Kaunga: Kwa mwaka it depends na taarifa tunazopeleka SCOAN...zikipitishwa, ile idadi ya watu waliopitishwa ndio tunawafanyia utaratibu wa kwenda. Na it depends pia na tatizo la mtu linalompeleka..... Swala la ndugu yako, nitalifuatilia....lakini sina uhakika kwa muda wote huo mpaka sasa...
  11. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)
  12. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Jamani mtusamehe kwa yote.
  13. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    uniq Samahani kwa yote jamani.
  14. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    batchu: Huo ni uzushi tu, wala hakuna kitu kama hicho. Na mtusamehe kwa yote yale ambayo kwa namna moja au nyingine tumewakosea.
Back
Top Bottom