@sylm: Sidhani kama ni kweli....mnamzingizia bure mtumishi wa Mungu. Nawaomba radhi kwa wote walipata matatizo kwa namna moja au nyingine kwani wakati mwingine hua anakua hayupo ofisini na kuwakabidhi watu wakumsaidia.
Tunaomba radhi kwa hilo.
Kaunga: Kwa mwaka it depends na taarifa tunazopeleka SCOAN...zikipitishwa, ile idadi ya watu waliopitishwa ndio tunawafanyia utaratibu wa kwenda. Na it depends pia na tatizo la mtu linalompeleka.....
Swala la ndugu yako, nitalifuatilia....lakini sina uhakika kwa muda wote huo mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.