Recent content by scatter

  1. scatter

    Uteuzi wa Dk Asha Rose-Migiro, Kenani Kihongosi ni wa Kimkakati huenda wakatenguliwa baada ya malengo kutimia

    Hujui hii storia asha rose migiro ni long term women impowerment regime na muda ndio huu.....
  2. scatter

    Wakuu naombeni msaada wa ramani Kali ya kisasa chumba sebule jiko choo

    Nakulàan unadharau na kauli mbaya hii raman utaipataje sasa
  3. scatter

    Afghanistan: Taliban waamuru saluni za wanawake zifungwe

    Kwanini unakua mfia dini unajivika matongo Tonto na kumeshakucha
  4. scatter

    Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

    Pombe usipojicontrol Kila simu utakua unajiapiza kuacha mimi falsafa yangu ya Sasa ni kunywa kistaraabu au kuacha, ukiwa huna nidhamu ya pesa Kila simu pombe na mademu vitacontoral maisha yako
  5. scatter

    UVCCM ya Sasa hi Bora mkono uende kinywani

    Kwa tunapoelekea umoja wa vijana unaongoza vijana wa chama tawala utageuka kuwa bendera fuata upepo ..yaani ule ushauri wa dhati kwenye maslahi ya vijana nchini morali yake ipo chini sana ,majuzi zimeibuka skendo za ubadhirifu wa fedha za umma hakuna anayetoa neno. Msingi wa umoja wa vijana...
  6. scatter

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Taarifa kwa wachakataji Masihara za epsodi ni nzuri ila ziwe na ukweli kama ni kamba ni marufuku Masihara ndefu ziboreshwe zivutie Kula dem ndani ya geto kwa siku tatu nzima hiyo sio masihara huyo ni mke Imetolewa na kurugenzi ya masihara
  7. scatter

    Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

    Ila tusije poteza wiki nźima ni jambo Uchumi wa marekan upo juu sana hana haja ya kuhangaika nao sisi wetu ni wachina wamejenga kwetu vitu vingi kuliko hao wa america
  8. scatter

    Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

    Safari hii isipokuwa chanya raisi atakuwa amejivunjia heshima kwetu na atakuwa ametudharau sana sisi Tunaomba ufanikishe unachokifanya kama raisi na ikikupendeza mheshimiwa akae hadi mwezi wa tano sio vibaya
  9. scatter

    Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

    Itoshe kusema MAREKANI SIO BABA YANGU UCHUMI IMARA UTAJENGWA PIKIWA NA UHURU NA USAWA WA KIDIPLOMASIA NA SIO KUJIPENDEKEZA
  10. scatter

    Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

    Eti kin Baba wa rihanna nashangaa sana hata joe biden atakua anamshangaa sana hajui anataka nn na hawezi akampa attention ya kuzungumza masuala ya Kiuchumi haipo kabisa labda aendelee kutembelea viwanda bubu huko america TANZANIA ina vivutio vikubwa sana ni zaidi ya royal tour ..ina...
Back
Top Bottom