Pombe usipojicontrol Kila simu utakua unajiapiza kuacha mimi falsafa yangu ya Sasa ni kunywa kistaraabu au kuacha, ukiwa huna nidhamu ya pesa Kila simu pombe na mademu vitacontoral maisha yako
Kwa tunapoelekea umoja wa vijana unaongoza vijana wa chama tawala utageuka kuwa bendera fuata upepo ..yaani ule ushauri wa dhati kwenye maslahi ya vijana nchini morali yake ipo chini sana ,majuzi zimeibuka skendo za ubadhirifu wa fedha za umma hakuna anayetoa neno.
Msingi wa umoja wa vijana...
Taarifa kwa wachakataji
Masihara za epsodi ni nzuri ila ziwe na ukweli kama ni kamba ni marufuku
Masihara ndefu ziboreshwe zivutie
Kula dem ndani ya geto kwa siku tatu nzima hiyo sio masihara huyo ni mke
Imetolewa na kurugenzi ya masihara
Ila tusije poteza wiki nźima ni jambo
Uchumi wa marekan upo juu sana hana haja ya kuhangaika nao sisi wetu ni wachina wamejenga kwetu vitu vingi kuliko hao wa america
Safari hii isipokuwa chanya raisi atakuwa amejivunjia heshima kwetu na atakuwa ametudharau sana sisi
Tunaomba ufanikishe unachokifanya kama raisi na ikikupendeza mheshimiwa akae hadi mwezi wa tano sio vibaya
Eti kin Baba wa rihanna nashangaa sana
hata joe biden atakua anamshangaa sana hajui anataka nn na hawezi akampa attention ya kuzungumza masuala ya Kiuchumi haipo kabisa labda aendelee kutembelea viwanda bubu huko america
TANZANIA ina vivutio vikubwa sana ni zaidi ya royal tour ..ina...
Unajua watu wanasahau sana JUZI HÀPA Mmarekani kaondoka afganistani kihuni na kwa acha wataleban waingie madarakani na wamekaa afghanistan zaid ya miaka mitatu
HAIWEZEKANI TASISI YA URAISI IKAE MAREKAN ZAIDI YA WIKI ...nchi haipo katika kufanya majaribio
Kama wamrekan wanaipenda tanzania...
Ziara ya mkuu wa nchi anayondelea nayo nchini marekani zaidi ya wiki sasa ni nzuri sana ila ni lazima tuseme ukweli haitatuletea mapinduzi ya kiuchumi na nchi yetu kuwa na uchumi wa hali ya juu kama baadhi ya nchi za Afrika.
Ziara ya zaidi ya wiki moja ni kitu kikubwa sana kwa mtu ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.