Recent content by Scared

  1. Scared

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Umatatizo la afya ya akili naona umri umeenda na unamaisha magumu sababu hata Uzi husomi unakurupuka
  2. Scared

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Hapa mtaani Kuna jamaa ni likubwa miaka 33 ila lipo nyumbani kwao linakula ugali wa shikamoo ubaya babayake analalaimika mtaani jamaa hataki kazi yeye kazi yake ni kubeti tu hivi huyu jamaa anaakaili timamu maana hata mtoto na mke Hana yeye kazi ni kushinda kijiweni na kurudi nyumbani kula hivi...
  3. Scared

    Nijiendeleze kwenye udereva au nifanyie biashara?

    Umeoa na je unawatoto tuanzie hapa kwanza Ili nikushauri
  4. Scared

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nyie wajinga mpo
  5. Scared

    Huyu mwanamke bado anajua mgumu kutoa hii mimba nifanyaje aisee

    Juzi nilileta Uzi humu kwamba Kuna mwanamke anasema anaujazito wangu nimemuambia atoe Sina shida na mtoto Sasa hivi sababu najitafuta umri wangu miaka 28 maisha ya tanzania magumu nitazidisha matatizo Cha ajabu Kila siku anakuja kushinda nje ya mlango wa geto langu yaani hata mda huu yupo nje...
  6. Scared

    Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Hamna bodaboda atakaeandamana ni waoga hao ngedere
  7. Scared

    Kuna binti anasema ana mimba yangu lakini sijajipanga. Nifanyeje?

    Na ukweli mzee Sina future na huyu demu kama kanifanyia makusudi
Back
Top Bottom