Pesa anayo ya kubadilisha mboga na yule mwenzie hawajapishana sana sa sijajua demu kimemkumba nini nahisi marafiki wa demu ndio wamemshauri maana jamaa mwenyewe aliempata huyu demu kaunganishiwa na shoga yake huyu demu
Kuna jamaa hapa mtaani ni likubwa miaka 31 Kuna kademu kake kana miaka 18 Sasa sijui imekuaje kamesema waachane Sasa Kuna mshikaji mwingine ndio anatoka nako haka kademu hapa mtaani Sasa huyu jamaa akaanza kukaa nastress na kulia
Yaani tupo nae hapa kijiweni anawaza mpaka kuoga haogi ananuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.